Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,991
very true mkuuNaona MNYETI anaweza kupewa hii nafasi.
very true mkuuNaona MNYETI anaweza kupewa hii nafasi.
Nawe acha kuhisi mambo ya ajabu, "atakuwa" amefanya?! nawe si unahisi tu.achene kuhisi mambo ya ajabu........meck sadick atakuwa kuna makosa ameyafanya kumbuka alikuwa mkuu wa mkoa wa dar
No. 2 EscrowStaili mpya ya utumbuaji, namba 2 na3 nahisi harufu ya madawa ya kulevya.
DAB kafukukua kaburi la bil 2.Kama ni kwa matakwa yao nawapongeza sana sana hasa mzee wangu wa Kilimanjaro mh sadik kwakweli lazima kuna kitu watakuwa wamekiona hakiko sawa.