Katika kile kinachoonekana kutunishiana misuli kati ya Mkiti wa CCM Mkoa na RC Tabora wiki iliyopita RC alifanya mkutano mkutano mkubwa ambapo aliwaita wenyeviti wote wa CCM wa wilaya zote za Mkoa wa Tabora na kuwapa msimamo wake juu ya kutetea wakulima wa Tumbaku ambapo walimuunga mkono huku wakulima wa tumbaku waliokuwemo ukumbini wakishangilia na mgeni rasmi akiwa ni waziri wa kilimo.
Hayo yalifanyika huku mkiti wa CCM mkoa akiwa matibabuni India na baada ya kurejea ameuagiza uongozi wa CCM mkoa wa Tabora kuandaa maaandamano makubwa ya kumpokea (Wakasuvi) ili kumuonyesha RC a Tabora kuwa Mkiti wa CCM anakubalika na anaungwa mkono na watu wengi. hadi muda muda huu viongozi wote wameagizwa kuhakikisha kesho Jumamosi wana fika uwanja wa ndege wa Tabora alfajiri kumpokea Mkiti wa CCM anayetoka kwenye matibabu India ilhali madiwani wote wa mkoa wa Tabora wakiambiwa kuwa lazima wafike Tabora kesho tena kwa gharama zao ikiwezekana waende na mashada ya maua kumpokea mtu anayetoka kwenye matibabu hayo yote ni kumuonyesha RC kuwa yeye si chochote na si lolote! tukielekea kwenye uchaguzi wa mitaa na baadae kidogo uchaguzi mkuu.
Yote hayo yanafanyika ili kuficha ukweli juu ya ubadhirifu mkubwa na madeni makubwa dhidi ya wakulima wa tumbaku ambao RC anawatetea kwa nguvu zote huku Mkiti wa CCM akiwatetea wabadhiru hao wa tumbaku na yeye akiwemo
Hayo yalifanyika huku mkiti wa CCM mkoa akiwa matibabuni India na baada ya kurejea ameuagiza uongozi wa CCM mkoa wa Tabora kuandaa maaandamano makubwa ya kumpokea (Wakasuvi) ili kumuonyesha RC a Tabora kuwa Mkiti wa CCM anakubalika na anaungwa mkono na watu wengi. hadi muda muda huu viongozi wote wameagizwa kuhakikisha kesho Jumamosi wana fika uwanja wa ndege wa Tabora alfajiri kumpokea Mkiti wa CCM anayetoka kwenye matibabu India ilhali madiwani wote wa mkoa wa Tabora wakiambiwa kuwa lazima wafike Tabora kesho tena kwa gharama zao ikiwezekana waende na mashada ya maua kumpokea mtu anayetoka kwenye matibabu hayo yote ni kumuonyesha RC kuwa yeye si chochote na si lolote! tukielekea kwenye uchaguzi wa mitaa na baadae kidogo uchaguzi mkuu.
Yote hayo yanafanyika ili kuficha ukweli juu ya ubadhirifu mkubwa na madeni makubwa dhidi ya wakulima wa tumbaku ambao RC anawatetea kwa nguvu zote huku Mkiti wa CCM akiwatetea wabadhiru hao wa tumbaku na yeye akiwemo