Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,442
- 4,389
Vyama vya Wafanyakazi na vya Kitaaluma nchi hii viko weak sana katika kutetea maslahi yao...tatizo ni kila mtu kuwa na matarajio ya kuteuliwa na Rais nafasi za kisiasa...na ndo hapo TLS inapokuwa imekufa na kuoza na sasa Lissu ameamua kwenda kuifufua!


usipotangaza