GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,648
- 10,843
Kwa nyakati tofauti, viongozi wa hayo Madhehebu wametoa matamko ya kuikosoa Serikali. Mengine ni makali hata kuzidi ya Askofu Gwajima!
Je! Hayo nayo yatafungiwa kama ilivyofanyika kwa Kanisa la UFUFUO NA UZIMA?
Lipi litatangulia kufungiwa kati ya RC na KKKT?
Je! Hayo nayo yatafungiwa kama ilivyofanyika kwa Kanisa la UFUFUO NA UZIMA?
Lipi litatangulia kufungiwa kati ya RC na KKKT?