RC na KKKT kufutwa?

RC na KKKT kufutwa?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,648
Reaction score
10,843
Kwa nyakati tofauti, viongozi wa hayo Madhehebu wametoa matamko ya kuikosoa Serikali. Mengine ni makali hata kuzidi ya Askofu Gwajima!

Je! Hayo nayo yatafungiwa kama ilivyofanyika kwa Kanisa la UFUFUO NA UZIMA?

Lipi litatangulia kufungiwa kati ya RC na KKKT?
 
Kuifunga RC ni ngumu sana,ile nayo ni serekali mbona wanatafuta balaa sasa
 
Tunavifuta vikanisa vya kuokoteza, vya hovyo hovyo, vya mfukoni vinavyotumika kutapeli watanzania
 
Kwa nyakati tofauti, viongozi wa hayo Madhehebu wametoa matamko ya kuikosoa Serikali. Mengine ni makali hata kuzidi ya Askofu Gwajima!

Je! Hayo nayo yatafungiwa kama ilivyofanyika kwa Kanisa la UFUFUO NA UZIMA?

Lipi litatangulia kufungiwa kati ya RC na KKKT?
Haiwezi kutokea na haitokaa itokee,RC ni mambo ingine et
 
Kwa nyakati tofauti, viongozi wa hayo Madhehebu wametoa matamko ya kuikosoa Serikali. Mengine ni makali hata kuzidi ya Askofu Gwajima!

Je! Hayo nayo yatafungiwa kama ilivyofanyika kwa Kanisa la UFUFUO NA UZIMA?

Lipi litatangulia kufungiwa kati ya RC na KKKT?
Hizo ni taasis ambazo si kanisa tena, ni serikal kubwa
 
Pale ni gusa unate futa ufutwe, itabidi ujipendekeze tu kushusha temper. Ogopa sana makanisa hayo!
 
Hayo makanisa ya Pentekoste hayana Umoja, machawa kibao na ndiyo maana wanapata nguvu ya kuyafuta wakitaka. KKKT pia wamo machawa wachache.
 
Kwa nyakati tofauti, viongozi wa hayo Madhehebu wametoa matamko ya kuikosoa Serikali. Mengine ni makali hata kuzidi ya Askofu Gwajima!

Je! Hayo nayo yatafungiwa kama ilivyofanyika kwa Kanisa la UFUFUO NA UZIMA?

Lipi litatangulia kufungiwa kati ya RC na KKKT?
Katoliki na KKKT Hao ni matawi tu mawazo yao hayawakilishi ya papa

Gwajima ndie papa wa kanisa la ufufuo na uzima siasa anazopiga zinawakikilisha msimamo wa kanisa lake
 
Labda hakafute wajomba zake oman maana walipo kule nao sio kwao
 
Back
Top Bottom