Daaah awamu hii utafikiria wodi ya vichaa mirembe,kila mmoja ni kuropoka aonekane yupo busy kuunga juhudi za mwanasayansi feki wa burigiMkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa, amesema anawataka wale wote wenye tiba za asili za pumu, kifua, mafua maumivu ya mwili na magonjwa yote yanayohusu upumuaji
Anawataka ofisini kwake ili wajitambulishe na kuonesha namna ambavyo dawa zao zinafanyakazi kwa ili wasajiliwe ili kusaidia kwa maradhi ambayo yanayoendelea kuwataabisha watu nchini
Hii itawaa fursa kujitambulisha kwa watanzania. RC amesema uwepo wa watu wa tiba za asili ni fursa ambapo inaweza ikatatua tatizo lililopo na kuacha utegemezi wa fikra kwa dawa za wazungu
Kabudi aulizweKwani Ile ya Madagascar ilienda wPi
Walete na dawa ya UKIMWI watu wapumzike kumeza ARVs tunawaamini sana.Wapo watalaam wa tiba za asili hapa nchini Ila chademra wao wanaisubiria WHO
Huyu mzee ichi ndo kipindi cha kupiga hela, maana kama nawaona ivi wa kule ulaya wakimiminika tayariNdo mda wao kupiga pesa akina babu wa loliondo.
ARVs watakuletea waliotengeneza ugonjwa,Walete na dawa ya UKIMWI watu wapumzike kumeza ARVs tunawaamini sana.
🙄🙄🙄🙄🙄 Sijaelewa ulichomaanishaDaaah awamu hii utafikiria wodi ya vichaa mirembe,kila mmoja ni kuropoka aonekane yupo busy kuunga juhudi za mwanasayansi feki wa burigi
Akili kichwani sasa na za kuambiwa changanya na za dame wako.Hivi viongozi wetu mna nini nyie? Wakati ninyi mkipona Hospitali kwa kutumia tiba za mnaowaita mabeberu, sisi wananchi mnataka tufe kwa waganga wa kienyeji?
Lengo kumfurahisha diktetaKwani yeye amepona kwa hiyo mitishamba?
Aweke ushuhuda hapa.