Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,837
- 93,612
Hii awamu ni afadhali hata ya IbilisiYeye alivyopata changamoto za kupumua alitumia hizo dawa anazoitisha waganga wa kienyeji wazipeleke?
Mbona hakumuambia msaidizi wake Liwowa azitumie na badala yake alifia Hospitali ya Ndanda?
Kikubwa amshukuru MUNGU kwa kumponya na maradhi ya kupumua, na ingekuwa anaamini sana hayo majani ya kienyeji na mitishamba asingeomba rufaa apelekwe Muhimbili ila angekaa pale kwake na hao waganga.
Hivi viongozi wetu mna nini nyie? Wakati ninyi mkipona Hospitali kwa kutumia tiba za mnaowaita mabeberu, sisi wananchi mnataka tufe kwa waganga wa kienyeji?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app