RC Mrisho Gambo: Serikali itaendelea kuwadhibiti wote watakaotaka kuingiza siasa kwenye majanga

Mimi ni miongon mwa Watu waliokuwa wanapinga Vijana kupewa Madaraka kama Ukuu wa Wilaya na Mkoa,nilikuwa natambua ni vyeo vya heshima na vinavyohitaji hekima na busara katika kuwaongoza Watu wa eneo husika,sikuzoea kuona upuuz unaofanywa na hawa viongoz sasa nimeuona,kipindi cha hapo nyuma kulikuwa hakuna mgogoro wa Mkuu wa Wilaya/Mkoa na Wananchi au na Viongoz kila mmoja alitambua majukumu yake lakini sasa tunashudia miongon mwa viongoz hawa wanakula mpaka rambi rambi za wafiwa,hii ni laana,pesa zetu za miradi zitakuwa salama?,najaribu kujiuliza bila majibu

Na ukihoji wanasema utapotezwa.Hii ndiyo awamu ya Tano bwana.Awamu ya Chuki na visasi vya waziwazi.

Ngoja tusubiri tuone mwisho,Yawezekana akina Gambo wataishi milele.
 
Kweli serikali iko katika hali mbaya kifedha.Inafanya majanga ya kitaifa kuwa sehemu ya kyiingizia kipato!!!!!.Tunaelekea kwenye udictata kamili sasa.
 
Kwa umri alionao Gambo na Makonda, ni dhahiri watachuja mapema na watapata taabu sana ya kuendana na maisha ya kawaida uraiani. Watakua wanahisi kua wanabezwa kumbe hisia zao. Mbona RC wa Simiyu mtulivu na anakubalika. What's wrong with only these two?
 
wanaolewa madaraka ni wale wanaolilia mic kwenye misiba

Nadhani ni Gambo maana Jana amewaambiwa waliokamatwa wataachiwa wakimpa pesa,sasa naona wamemnyima hakuna za kupiga hasira Mara mbili.

Kijana mdogo kula Rambirambi ni aibu.
 
Hongera sana Mh. RC ifike hatua watanzania tutofautishe lipi ni jukwaa ka siasa na upi ni msiba.
Huku kijijini ilikuwa ikipulizwa pembe wote tunaenda kulima barabara za mitaa, siku hizi watu utawasikia wakisema "Mimi ni ukawa siwezi kulima barabara wala kusafisha kisima cha maji!" Kila shughuli imegeuka siasa wakati hao wanaotudanganya bila ruzuku za vyama wanalia njaa!

Wasweke wote ndani hao wanasiasa wa msimu, hata baba Paroko wangu naye aswekwe tu maana hakuna namna!
Huwa hamkosekani kama nyie
 
Kwa umri alionao Gambo na Makonda, ni dhahiri watachuja mapema na watapata taabu sana ya kuendana na maisha ya kawaida uraiani. Watakua wanahisi kua wanabezwa kumbe hisia zao. Mbona RC wa Simiyu mtulivu na anakubalika. What's wrong with only these two?

Sifa,naona kila mmoja anataka aonekane kwa mkuu.
 
Ameongea vizuri sana kama kiongozi wa mkoa! Tatizo la watanzania ni wavivu wa kufikiri siasa hata pasipohitajika na hiyo shule kama ana uwezo aifutie usajiri wake wajinga sana.
Hebu tuambie baadhi tu ya Siasa zilizofanywa na wamiliki wa shule binafsi,waandishi wa habari,viongozi wa dini,madiwani au mstahiki Meya hiyo jana!! Na utuambie sheria iliyovunjwa kwa kupeleka Rambirambi kwa wafiwa! Gambo ana maslahi ya kisiasa na kiuchumi kwa rambirambi hizo kuwekwa mikononi mwake! Meya hakuwa pale jana ili kupokea rambirambi wala kupiga kampeni! Mh Lema alipolalamikia kitendo cha kunyimwa nafasi ya kutoa neno la pole kwa wapiga kura wake mulidai anatafuta kick!! Sasa huyu anayepambania kufa na kupona kulazimisha apewe yeye rambirambi atakuwa anatafuta nini?? Huyu anayetuma hadi jeshi limsaidie kudai rambirambi utuambie ana maslahi gani na hiyo rambirambi!!
Mnaiba gizani na kisha mnanogewa na kuanza kuiba mchana!! Halafu Mnadai HAKI yenu ya kuiba!so fun!
 
yani unamiliki shule una Magari mabovu Magari hayana bima halafu ulete siasa! not this extent! kamata hao weka kolokoloni
 
Nadhani ni Gambo maana Jana amewaambiwa waliokamatwa wataachiwa wakimpa pesa,sasa naona wamemnyima hakuna za kupiga hasira Mara mbili.

Kijana mdogo kula Rambirambi ni aibu.
kijana kama Lema kulilia mic ni aibu hata kama hupendi!
 
hujui lolote duniani, sisi tunajenga nchi

Ati unajenga nini??Wezi wakubwa wa raslimali zetu.Kwa ufupi huyo Gambo alipokea 200milion akauza Faru John,Mzee wenu Bilioni nane katuletea kivuko kibovu,kupiga $224mm katuletea TT,Barabara za substandard. Halafu ati? Usiache nikakutukana bure.

Tena nyamaza majizi nyie.
 
hayo ndiyo matokeo ya ulimbukeni wa kisiasa. kiongozi anaacha majukumu muhimu anafuatilia michango ya rambirambi.kwani kuna mfiwa aliyemlalamikia kuwa rambirambi zake zimeliwa?
hawa MEMKWA watatusumbua sana.
Tunataka rambi rambi zirudishwe kwa wahanga wa ajal
 
Nawaza msinipopoe mawe....! Hivi kiuhalisia rambirambi wanapewa wanafamilia ama shule walipokuwa wanasoma wanafunzi! Sasa kama ni wanafamilia kwa nini hao watoa rambirambi hawaendi nyumbani kwa wafiwa wanaamua kwenda shuleni? Ukizingati mkuu wa shule yuko matatani kutokana na tukio hilo. Hamuoni kuwa hao kwenda pale kunaweza kuathiri mwenendo wa kesi dhidi ya wahusika wa shule ? Gambo anaweza kuwa sahihi sema ameshindwa kujenga hoja.
Mkuu lema na chadema yao arusha wako upande wa Mwenye shule wala sio wafiwa Ndio maana hata godbles lema bungeni alihoji kumtetea mkuu wa shule Mr. Mushi hakuhoji kabisa kuhusu fidia Ya Wafiwa mwenye shule atawalipaje majeruhi na wafiwa. Why wanaconcentrate kwa aliyesababisha ajali?yaani wangetafuta hata neutral place wanachofanya lema na hilo genge la meya ni kusphathise na mtuhumiwa sio Wafiwa na majeruhi
 
kijana kama Lema kulilia mic ni aibu hata kama hupendi!

Nadhani aibu anayo Gambo kwa kula pesa za wafiwa. Hasira anasema mpaka Mapadre polisi kwa hilo atalipa,tena atalilipa very soon kamwambieni
 
Nitaendelea kusema na kuamini vijana wa Tanganyika elimu waliyosoma imewaandaa kuwa wapambe na washika mafile si kuwa viongozi au wasimamizi. Ktk jambo ambalo mwenyekiti wangu amekosea ni kuamini vijana na kuwapa madaraka makubwa wakati level yao na elimu ya Tanganyika ya kuanzia miaka ya 1990 inamwandaa mwanafunzi kuwa watumwa wa mtu si watuma watu au viongozi.
Kweli mkuu,kafanya kosa kubwa sana na mimi nilijua lazima watachemka
 
Back
Top Bottom