Mwanahabari Huria
JF-Expert Member
- Jan 29, 2025
- 297
- 172
Serikali ya awamu ya sita imetoa kiasi cha TZS492bn kupitia TANESCO na REA Mkoani Shinyanga kwa ajili ya miradi mbalimbali ya Umeme. Katika kipindi cha miaka minne ya Raisi Samia Serikali kupitia wakala wa Nishati vijijini (REA) imetekeleza mradi kwa TZS11.18bn na kusambaza umeme katika vitongoji 90 na vijiji vyote 506 vya Mkoa wa Shinyanga vimeunganishwa na umeme pamoja na vitongoji 982 kati ya vitongoji 2,704. Kuendelea na utekelezaji wa mkakati wa nishati safi ya kupikia ambao umelenga kuboresha afya ya jamii na kulinda mazingira safi ya kupikia kwa kutoa Elimu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia na kugawa mitungi 6,500 ya gesi na Kukamilisha utekelezaji wa miradi 133 ya usambazaji mitungi ya gesi 6,500 ili kuendeleza matumizi ya nishati safi kwa ajili ya biashara ndogo hasa upishi.
Katika kipindi cha miaka minne ya Raisi Samia Serikali kupitia wakala wa Nishati vijijini (REA) imetekeleza mradi kwa TZS11.18bn na kusambaza umeme katika vitongoji 90 na vijiji vyote 506 vya Mkoa wa Shinyanga vimeunganishwa na umeme pamoja na vitongoji 982 kati ya vitongoji 2,704. Kuendelea na utekelezaji wa mkakati wa nishati safi ya kupikia ambao umelenga kuboresha afya ya jamii na kulinda mazingira safi ya kupikia kwa kutoa Elimu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia na kugawa mitungi 6,500 ya gesi na Kukamilisha utekelezaji wa miradi 133 ya usambazaji mitungi ya gesi 6,500 ili kuendeleza matumizi ya nishati safi kwa ajili ya biashara ndogo hasa upishi.