Tetesi: Rc Makonda

Huna la kunitishia bro nitakapo amua kusema ubaya wako sio zana ya matusi mimi ni mtanzania mstaarabu sana naheshimu hisia za watu Sina haja ya kukuchafulia utu lkn siku zijazo jifunze kujibu hoja kwa hoja matusi ni mwiko sio utaratibu wetu watanzania alafu mimi ni mlokole sipendagi lugha chafu
Hii post yako ni ndefu kushinda uzi ulioanzisha
 
Wasisifiwe kwa kufanya wajibu wao kwani waliwekwa hapo kufanya nini? Sisi waafrika ndio matatizo matupu tena ni mapumbavu na malofa majitu yanawekwa hapo kwa kodi zetu yanalipwa na kodi zetu wakifanya wajibu wao eti tunawasifu ndi sababu Trump akatuita shitcountries
 
Huna la kunitishia bro nitakapo amua kusema ubaya wako sio zana ya matusi mimi ni mtanzania mstaarabu sana naheshimu hisia za watu Sina haja ya kukuchafulia utu lkn siku zijazo jifunze kujibu hoja kwa hoja matusi ni mwiko sio utaratibu wetu watanzania alafu mimi ni mlokole sipendagi lugha chafu
Una ulokole gani pumbavu
 
Nampongeza kwa kazi kubwa anayoifanya
IMG-20180101-WA0011.jpg

Kweli anastahili pongezi maana sio kwa usingizi huu
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom