Nathan_Mao-Tz
Member
- Jan 11, 2018
- 22
- 3
Nampongeza kwa kazi kubwa anayoifanya
Anaandaliwa kuwa Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzanzania ifikapo mwaka 2025. (sio rasmi)
Huu ni Uzi umeandikwa na mwanaume au na mwanamama?
CCM chama cha mazuzu sitaona ajabuAnaandaliwa kuwa Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzanzania ifikapo mwaka 2025. (sio rasmi)
Nafikiri nitakuwa sijakosea kama nitasema ubaya juu yakoHuu ni Uzi umeandikwa na mwanaume au na mwanamama?
Ameandika mvulanaHuu ni Uzi umeandikwa na mwanaume au na mwanamama?
Sema ndyo utakopo nitambua mimi ni mtu wa aina ipi?Nafikiri nitakuwa sijakosea kama nitasema ubaya juu yako
Huna la kunitishia bro nitakapo amua kusema ubaya wako sio zana ya matusi mimi ni mtanzania mstaarabu sana naheshimu hisia za watu Sina haja ya kukuchafulia utu lkn siku zijazo jifunze kujibu hoja kwa hoja matusi ni mwiko sio utaratibu wetu watanzania alafu mimi ni mlokole sipendagi lugha chafuSema ndyo utakopo nitambua mimi ni mtu wa aina ipi?
bibi yako.Huu ni Uzi umeandikwa na mwanaume au na mwanamama?
Mbona baba yako anatukana watu ujinga na Ulofa?Huna la kunitishia bro nitakapo amua kusema ubaya wako sio zana ya matusi mimi ni mtanzania mstaarabu sana naheshimu hisia za watu Sina haja ya kukuchafulia utu lkn siku zijazo jifunze kujibu hoja kwa hoja matusi ni mwiko sio utaratibu wetu watanzania alafu mimi ni mlokole sipendagi lugha chafu
Baba anaweza kumkemea mtoto kwa namna yyt atakavyopenda, sintaubeba uovu wa babaMbona baba yako anatukana watu ujinga na Ulofa?
Ukianzisha tena mada ya kijinga ivi sita kutukana tu bali nita deal na wewe effectivelyBaba anaweza kumkemea mtoto kwa namna yyt atakavyopenda, sintaubeba uovu wa baba
AyseUkianzisha tena mada ya kijinga ivi sita kutukana tu bali nita deal na wewe effectively