Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,046
This time around hana jinsi.Kuna ka inzi kanazunguka kana harufu mbaya kama kametoka kwenye kinyesi.
Hata yeye anahaha kutuma watu wavujishe ili sizonje aghairi na kusema wasinipangie
This time around hana jinsi.Kuna ka inzi kanazunguka kana harufu mbaya kama kametoka kwenye kinyesi.
Hata yeye anahaha kutuma watu wavujishe ili sizonje aghairi na kusema wasinipangie
YUPO LIVE SASA..Kwa muda mrefu sasa mkuu wa mkoa wa Dar sijamsikia ni kama zaidi ya wiki 2 na siku hivi. Nini kimempata mkuu huyu maana najua huwa sio kawaida yake kukosekana kwenye media kwa muda mrefu hivi.
Naona na Dada yake mange kasema kuna majanga yamempata japo hajafanunua. Hebu wajuzi wa mambo tupeni information.