RC Makonda kwa hili hapana..

RC Makonda kwa hili hapana..

Eti ndo anasema UKAWA hawana chao Dar. Yeye ndo Rais wa jiji na mkoa wa Dar. Hawawezi kuamua chochote bila yeye kukipitisha. Hivi halmashauri zinaongozwa kwa matakwa ya huyu Makonda au kwa mujibu wa sheria za serikali za mitaa? Na je, kila kitakachojadiliwa na kupitishwa na baraza la madiwani lazima kipitishwe na Makonda?
binafsi nilishangaa sana kama kweli alitamka hayo basi tutegemee mvutano na mikwaruzano Kati yake na mameya wa ukawa, kwa maoni yangu hilo jiji lingepata RC aina ya Abbas Kandoro au William lukuvi ingekuwa Safi sana, hawa watu wana busara, utulivu wa akili na hawana mihemuko ya kisiasa
 
Nilitegemea wanapewa semina endelevu za uendeshaji badoboda.

Ngoja tuone kama Mabaraza yakiamua kununua madawati halafu akatae sijui kama.Magufuli atamwacha.
 
Eti ndo anasema UKAWA hawana chao Dar. Yeye ndo Rais wa jiji na mkoa wa Dar. Hawawezi kuamua chochote bila yeye kukipitisha. Hivi halmashauri zinaongozwa kwa matakwa ya huyu Makonda au kwa mujibu wa sheria za serikali za mitaa? Na je, kila kitakachojadiliwa na kupitishwa na baraza la madiwani lazima kipitishwe na Makonda?
ana vituko huyu,toka lini amekuwa mjumbe wa baraza la madiwani wa Jiji.angesema anapitisha barua za kwenda kuzindua matamasha au kukata utepe tungemuelewa
 
RAS wa huyo jamaa ana shida,maana anaweza akasema kila kitu mkoani akipitishe yeye na sio RAS tena
 
Hao ndio viongozi wa hili Taifa, piga wastaafu ili upate cheo. Nijuavyo kwenye uongozi kuna mgawanyo wa kazi, ndio maana hata chuoni tuna soma fani tofauti, namshangaa sana huyu dogo kusema yeye ni kila kitu Dar!!! Huu ni ulevi wa madaraka na show off.
Kama Mh rais alijua Makonda ni kila kitu ange futa taasisi zote amwache afanye kazi mwenyewe. Makonda anatakiwa ajue yeye ni mpiga debe tu wa mfalme kazi halisi hufanywa na wataalamu. Kuna town planning, kuna local govt, kuna usalama, so and so. Kipofu kaona tembo kila kitu ni kama tembo.
 
awape
ana vituko huyu,toka lini amekuwa mjumbe wa baraza la madiwani wa Jiji.angesema anapitisha barua za kwenda kuzindua matamasha au kukata utepe tungemuelewa


alitakiwa awape training za busness.. alafu awape mikopo na awatume wakafanye busness machinga complex.. swala la pikipiki linatakiwa liwekewe ugumu wa kumiliki.. yaani kumiliki pikipiki iwe vigumu kama kumiliki silaha..bodaboda ni shida kubwa sana.. majambazi wamejificha humo..
 
Serikali ihamie Dodoma alafu bodaboda watafanya mji wa Dodoma kukua kwa haraka
 
Ifahamike boda boda sio ajira ila ni kazi ya kuwawahisha watu kwenye ajira zao! Kazi hii inatakiwa kufanywa na chombo kimoja cha usafiri! (Maana yake kuboresha usafiri wa umma) hivyo hawa vijana Walitakiwa wawe na kazi za kufanya! Hivyo kiuchumi boda boda na kucheza pool table hakuna tofauti ila wanasiasa wamejitoa uelewa
Dah,mbona una dharau sana na kazi za watu?hebu nipe ufafanuzi kazi kama kazi ni lazma iwe na nini cha ziada?
 
Ifahamike boda boda sio ajira ila ni kazi ya kuwawahisha watu kwenye ajira zao! Kazi hii inatakiwa kufanywa na chombo kimoja cha usafiri! (Maana yake kuboresha usafiri wa umma) hivyo hawa vijana Walitakiwa wawe na kazi za kufanya! Hivyo kiuchumi boda boda na kucheza pool table hakuna tofauti ila wanasiasa wamejitoa uelewa
Kweli tupu
 
Dah,mbona una dharau sana na kazi za watu?hebu nipe ufafanuzi kazi kama kazi ni lazma iwe na nini cha ziada?
uwe na mkataba,,.ukatwe kodi kwa pato lako unaloingiza,.nyi boda mnakatwa kodi??????
 
hili la makonda inaonyesha ni jinsi gani viongoz wetu hawana maono ktk kuleta mabadiliko na kututoa hapa tulipo kutupigisha hatua.......makonda kakulupuka baada ya kuzd kutafuta sifa.
huyu anawakilisha mawazo ya viongoz waliondani ya ccm,.....
hili wazo la mh.makonda halina tofauti na tamko la kupunguza bei ya sukari bila kufanya tathmini ya +&- yake.......
ilhali mtu kiongoz bas anaongea hovyohovyo2 bila kuwaza negativity ya jambo husika
sifa+uongozi wa kutunukiwa=ni shida
 
Ifahamike boda boda sio ajira ila ni kazi ya kuwawahisha watu kwenye ajira zao! Kazi hii inatakiwa kufanywa na chombo kimoja cha usafiri! (Maana yake kuboresha usafiri wa umma) hivyo hawa vijana Walitakiwa wawe na kazi za kufanya! Hivyo kiuchumi boda boda na kucheza pool table hakuna tofauti ila wanasiasa wamejitoa uelewa
Uko sawa kabisa mkuu, bodaboda si ajira, ni wanasiasa kujitafutia popularity tu.
 
Eti ndo anasema UKAWA hawana chao Dar. Yeye ndo Rais wa jiji na mkoa wa Dar. Hawawezi kuamua chochote bila yeye kukipitisha. Hivi halmashauri zinaongozwa kwa matakwa ya huyu Makonda au kwa mujibu wa sheria za serikali za mitaa? Na je, kila kitakachojadiliwa na kupitishwa na baraza la madiwani lazima kipitishwe na Makonda?
Hapa Magu kapotea bora angemuacha Meck hapohapo. Makonda anasumbuliwa na utoto kichwani mwake, amepewa kazi inayomzidi umri
 
labda zilizopo hazitoshi, pia sio lazima zote zifanye biashara waweza fanya usafiri binafsi pia
 
Wazee wenzangu, Ukuu was mkoa ni kazi isiyo na mashiko. Ni political commissar was mkoa. Useless job iko pale kuisaidia ccm ishinde chaguzi. Power sake kawekewa kwenye kamati ya ulinzi na usalama. Hata budget kisheria mgao ni wilayani. Kweli cheo kimemzidi umri. Jukumu la Kufunga gidamu haiko kikatiba kama vile ukuu was mkoa nayo haupo kikatiba
 
...na ile kauli ya kuwapa moyo kwa kuangalia upya suala la kufika katikati ya jiji, nalo halijakaa vema.

Kama unawapa moyo kwa kauli ya "TUTALISHUGULIKIA" sawa vngnevo Mh. PM kuna wakati inakubidi kukaa na wataalam uwaulize profits/non profits kutokana na hao jamaa kufika center!.
 
Back
Top Bottom