Hahaahaha mkuu na wewe ulitaka uielewe hii mada au uone connection? Mada hii ngumu siyo size yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa mi sio bashite banaa mi raia mwema tusawa bashite umesikika
Ni kweli hii mada siyo ya Kiwango changu bali ni ya Kiwango cha wale Wavivu wa Fikra wakiongozwa na Wewe Mdau Wetu.
Hakuna matataHahahaaa mi sio bashite banaa mi raia mwema tu
Hahahaaaaaa...........time is macangability!Hahaha, umenikumbusha kwenye debate,
Formal education is better than ????????
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1367323
Ndio maana anaambukiza wenzake kiongozi anatakiwa kutumia ubongo na sio woroworo
Ni hotuba zinazoendelea katika mkutano wa Kimataifa wa Madini. Kama mtanzania, hili haliko sawa sana ukizingatia sisi ndo wenyeji.
Wageni wanataraji kunywa, kula, kustarehe na kulala hapa kwetu. Kwa kauli hii, si vyema tuitoe sisi wenyeji. Inaashiria kama vile tuna uzoefu fulani na hizo "biological weapons".
Victoire huyo kaka yako huwa simuelewi kabisaHuyu Kilaza jamani. Eti Biological weapons. Anajua hata maana yake ?Au ndo kina lemutuz wanamdanganya ?Tanzania ikipigwa biological weapon wote tutaisha.
Mbona yule prof Lumumba aliongelea kinachoitwa 'democrasia' kwenye nchi zenye vita na madini kama DRC, na hujamkosoa?Kwa hiyo huu mkutano unazungumzia demokrasia au madini