soine
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,113
- 2,329
Kasema vizuri kuhusu biological weapons? Unahakika umesikiliza kwa makini au ndio zile huba tuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina huba na huyu mtu. Kiukweli kawaasa watanzania kuangalia wanaohimiza demokrasia kwa macho mawili....kuna mataifa ya magharibi yanatumia democrasia kutimiza malengo yao....pia kasema kuwa makini biological na chemical weapons ....hapa kasema "kutumika mikononi hasa hand shaking"...it applies to both sides.