PreGE2025 RC Makonda: Barabara Arusha ni ajenda ya kila kiongozi kuanzia ngazi ya mtaa

PreGE2025 RC Makonda: Barabara Arusha ni ajenda ya kila kiongozi kuanzia ngazi ya mtaa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema katika mkoa wake waliamua kuifanya ajenda ya barabara kuwa kipaumbele kuanzia kwa kiongozi ngazi ya chini hadi wa juu.

Makonda ametoa kauli hiyo jana Jumamosi Aprili 26, 2025, wakati wa maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika katika viwanja vya Soko la Kilombero, mbele ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Atwambie depo ya mafuta kule KIGAMBONI kaipataje? Kapata wapi mtaji wa kuagiza na kusafirisha mafuta ikiwa yeye ni kiongozi wa umma tena aside hata na miaka 10 kwenye utumishi?
Hawa kina FAROUK na NEILESHI Ana husiana nao vipi?
 
Back
Top Bottom