RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Usiombe ulimwengu uwe mwalimu wako utapata shida sana.
Walipokuwa wakisema asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu walikuwa na maana kubwa sana ambayo Makonda/Daud na wengine hawakujua maana hiyo au waliipuuzia, dunia hii ni zaid ya Rais na wafalme wengine.
Kama Makonda angekuwa amefunzwa na mamaye(serikali ya ccm) basi ulimwengu usingeingilia kati kumtia adabu kiasi hiki.
Rais na watu wake naamini wamepata funzo kubwa sana hapa kuwa sio kila wanaopinga wana dhamira mbaya, wengine ni kutaka kumsaidia lakini yeye ameamua kuchagua upande wa kina Makonda
 
W
9c084a1a13feeb7f728b8af6459b29fd.jpg
Saa 4 usiku akiwa na majambazi wenzake.
Ebu tumia akili, CCTV haiami huwa inachukua upande ulio selected, hapo ni reception ambapo hiyo CCTV imetegwa na imechukuwa wale waliopita mbele ya camera
 
Mkuu wa polisi igp atoe ufafanuzi maana haya ni matumizi mabaya ya jeshi la polisi
Hulka ya ngamia ni moja ukimkaribisha kwenye kibanda chako jangwani ili apate ahueni ya jua kali la jangwani tarajia kifuatacho... Hataingiza kichwa tu ataingiza mwili wote na kukifumua kibanda chote.... Huyu ndio ngamia mkaribishe kwa ukarimu lakini tarajia haya
Kuna Mabinti wengi kweli leo wanajuta kwavile walirubuniwa wakarubunika walipoambiwa NAINGIZA KICHWA TUU....(Kwani uliambiwa ina mabega ile) matokeo yake ilizama yote na kilichofuata ni mengine makubwa yasiyotegemewa... !
Kila tokeo baya ni tunda la uovu... Ambush iliyofanyika clouds media na askari na wanajeshi wenye silaha za moto ni kitu kigeni kabisa kwetu, na si tukio la ujambazi la hasha ni kiongozi mkubwa akitaka matakwa yake yatimizwe
Kila jambo na wakati wake juzi ilikuwa furaha mkamshangilia mkamakaribisha kwa mbwembwe zote na kummwagia maji,leo karudi na mitutu
Poleni clouds media... Kila mchuma janga....
Kweli rafiki mkubwa anaweza kugeuka na kuwa adui mkubwa, makonda sasa anagombana na kila aliyewahi kuwa rafiki yake
 
Hulka ya ngamia ni moja ukimkaribisha kwenye kibanda chako jangwani ili apate ahueni ya jua kali la jangwani tarajia kifuatacho... Hataingiza kichwa tu ataingiza mwili wote na kukifumua kibanda chote.... Huyu ndio ngamia mkaribishe kwa ukarimu lakini tarajia haya
Kuna Mabinti wengi kweli leo wanajuta kwavile walirubuniwa wakarubunika walipoambiwa NAINGIZA KICHWA TUU....(Kwani uliambiwa ina mabega ile) matokeo yake ilizama yote na kilichofuata ni mengine makubwa yasiyotegemewa... !
Kila tokeo baya ni tunda la uovu... Ambush iliyofanyika clouds media na askari na wanajeshi wenye silaha za moto ni kitu kigeni kabisa kwetu, na si tukio la ujambazi la hasha ni kiongozi mkubwa akitaka matakwa yake yatimizwe
Kila jambo na wakati wake juzi ilikuwa furaha mkamshangilia mkamakaribisha kwa mbwembwe zote na kummwagia maji,leo karudi na mitutu
Poleni clouds media... Kila mchuma janga....
Eti naingiza kichwa tu

Kwani uliambiwa ina mabega ile.

narudi mida
 
Kumbuka kwamba wiki iliyopita Rais alipiga simu kwenye 360 na akasema anaangalia SHILAWADU. Makonda kusikia hivyo akasema Lazima amchafue Gwajima kupitia SHILAWADU ili na Rais aone.

Kwenye hiyo Clip ya Makonda kuvamia Clouds, nyuma yake kuna dogo mweusi mwembamba.

Huyo anaitwa BNB , ndio producer wa kipindi cha Shilawadu yaani huwa anatafuta umbea na kuwapa kina Sudi wafuatilie.

Nasikia Dogo ndio alilipwa na Makonda ili amchafue Gwajima kwa hiyo akamchomekea Sudi Brown jumba bovu ili aende kwa yule Mama.

Habari za uhakika ni kwamba hadi Ijumaa dogo alikuwa amefukuzwa kwenye kile kipindi. Makonda alipoona habari haiendi alimtafuta Dogo aeleze kwanini hajafanikisha kazi aliyotumwa.

Ndio pale unaona anaingia Mjengoni na dogo. Ndani aliingia na Askari watano na wengine walibaki nje kulinda mageti.

KUMBUKA BAADA YA SAKATA LA MADAWA, MAKONDA ALIONGEZEWA WALINZI ILI WAMLINDE DHIDI YA WATU ALIOWATAJA.

NA SASA HAO WALINZI NDIO ANAWAAMRISHA NA KUWATUMIA KWA MASLAHI BINAFSI. Hiyo inatia hofu kwa vijana wengine kupewa madaraka makubwa.

SHILAWADU . ..Poleni sana Shilawadu.

3d8cff9b0fb748ac7584eba60fa438de.jpg


41b05179a651f500dbe065fd3b9da984.jpg
 
Zipo cctv camera za kituo kimoja cha redio na tv jijini Dar es Salaam zikimuonyesha mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda akiwa anaingia kituoni hapo na askari wa JWTZ aliyebeba silaha ya moto.



Video hiyo inaonyesha kuwa ndugu Makonda anatinga kituoni hapo kwa style ya kuvamia akiwa amebatana na kijana mmoja (mtangazaji wa kipindi kimoja maarufu kituoni hapo) askari mmoja wa jeshi la polisi na huyo wa JWTZ ambaye amening'iniza silaha na anafunga mlango huku akionekana kutoa amri kwa watu ambao wamebaki nje.

Sheria zetu zinasemaje kuhusu askari wa JWTZ? Kwanini RC aambatane nae tena akiwa na silaha ndani ya kituo cha matangazo?
 
Wabongo bwana...

Tutajuaje kama hapo ni ofisi za Clouds media...
Tutajuaje kama ndio alikua ana kwenda kumchafua Gwajey na sio siku zingine za nyuma...

Kivideo chenyewe Robo lita.
Hata kama unajijua ni Fa Fa Fa basi jifiche usiuonyeshe kwa kila mtu.. Angalia hiyo video itakuonyesha muda na siku na kama unaangalia kipindi cha Shilawadu huyo kijana ungemfahamu
 
Alafu hii ishu aliipanga na mkulu...sio Bashie pekeyake....maana haiwezi kuwa rahisi hivyo mkulu kuisifia shilawadu...in a week kikaja kioja hicho....mkulu alitaka watu tuamini habari za shilawadu...na tu-draw attension kwa habari za vipindi hivyo.

Shame on this uongozi

Kweli bana, footage iko kwa instagram bishop gwajima
Upo sahii mkuuu. Tena hapa ana jeshi. Ni rahisi ndye anayeamrisha jeshi kutokea kwenye matukio kama hya. Yani hapa Magufuli anahusika moja kwa moja. Mkuu wa mkoa hwezi fanya hya bila baraka ya aliyemuweka hpa
 
Back
Top Bottom