msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,067
- 1,136
Naomba kwa umoja na utaifa wetu tuungane kwa pamoja, KUPAZA SAUTI ZETU KUMUONDOA MKUU WA MKOA WA DAR, P. MAKONDA KWA LUGHA CHAFU ALIOITUMIA KWA AFISA ARIDHI MANISIPAA YA KINONDONI.
Juzi kapigiwa simu na kusifiwa kwa utendaji uliotukuka unaofanana na wa malaika, leo uje useme aondoke!?