iloveguinness
Senior Member
- Oct 31, 2010
- 176
- 90
Naona midadi ilimzidia akaona liwalo na liwe wacha nilipuke tu! Taratibu husika zizingatiwe jamani, maana kila mmoja akija na style yake for the sake of show si kutakuwa na chaos?!
Nimeipenda sana hii. .Kama mtu ni mzembe, ni mzembe tu. Wazungu wanamsemo wao; let's call a spade a spade. Kama mimi ningekuwa mkuu wa mkoa, kwenye hiyo mikutano ningekwenda na "fimbo". Watumishi kama hao ni wa kucharaza viboko tu mbele ya hadhara.
Aaaargh! Inakera sana, uzembe umezidi sana kwenye nchi hii. It's too much!
Mnajichosha tu, kesi ya simba unampelekea swala?
Ni kweliUkweli lazima usemwe
NafukuaMnajichosha tu, kesi ya simba unampelekea swala?
Ngoja nilete sururuNafukua