lhrc cjui wako wapi ck iz wamelala sn
tgnp mpo wapi?
lipumba kapewa pesa zote zilizokuwa za Safari za nje pia pesa za viwanda ili azitumie kudhoofisha Ukawa ni aina fulani ya matumizi mabaya ya pesa za umma.2020 lowassa ndio jibu
1:4Naomba kwa umoja na utaifa wetu tuungane kwa pamoja, KUPAZA SAUTI ZETU KUMUONDOA MKUU WA MKOA WA DAR, P. MAKONDA KWA LUGHA CHAFU ALIOITUMIA KWA AFISA ARIDHI MANISIPAA YA KINONDONI.
Yote hayo uliyotaja sio indicator ya uongozi bora na imara.Kutukana ndio tulichowatuma?unashabikia upumbavViongozi wa uma wakiwa kimya mnalalamika mnawaita dhaifu wakiwa aggressive mnasema madictator
Nyie Bavicha badilikeni
mimi ningemwambia palepale kuwa kichaa mwenyeweMim bado mtu hajanikoromea ivyo mbele za watu.Na akumbuke cheo ni dhamana.
Kawazalilishaje , mbona mnakurupuka ??
Shida hamtaki kuambiwa ukweli maana asilimia kubwa ya watumishi wa uma ni mabogas sana
Tena alipaswa amchape vibao huyo mtumishi wa uma maana wamezidisha ubwege pambaf kabisa
Watanzania wavivu wa kufikiri na kutenda jinga kabisa
muite mtukufu hivyo halafu utajua kama ni tusi ama la.Nikweli waingereza wanasema kila mtu all ni kichaa isipokuwa kitajulikana aina ya kichaa pindi akipimwa. Mfaransa anasema kila mmoja ni kichaa. Sasa hapo yawezekana Bwana makonda labda katumia franchise principles
Kichaa ni sifa wala siyo tusi" na ndiyo maana ule utafiti ulisema katika watanzania 4 mmoja ni kichaa....watu acheni kutetea watendaji wabovu ...viongozi wasipokuwa wakali mtaumia nyie wananchi
Wenyeviti wa boko, tegeta,kunduchi, 'mbezi, Mikochen na kawe waliungana wakaunda kamati ya ufundi ikampeperusha asipite huko ndiyo maana alikuwa kama amechanganyikiwa
kwahiyo matusi ndio tiba kero?Mtajuana...si mlizoea kutuzingua tukija kutaka huduma na tumewaajiri kwa kodi zetu, kuna watu wamezoea kufanya mambo kwa mazoea sasa mlichokuwa mnataka ndio hicho! Fanyeni kazi kwa weledi muone kama mtadhalilishwa kama mnavyodai.