Evans-Arsenal
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 868
- 1,385
Jana Rc Makonda amekabidhiwa Mwenge wa Uhuru jijini Dsm, ukitokea mikoa mbalimbali nchini Tanzania ambao utazindua miradi mbalimbali Itakayozinduliwa katika wilaya mbalimbali mkoani Dsm
Gwajima leo anasema haoni faida yoyote ya Mwenge wa Uhuru kuzunguka nchi nzima, asema sio lazima ukapelekwa sehemu zote za Tanzania au ndo unalaza akili za watu mapema bila sisi kujua....
Gwajima leo anasema haoni faida yoyote ya Mwenge wa Uhuru kuzunguka nchi nzima, asema sio lazima ukapelekwa sehemu zote za Tanzania au ndo unalaza akili za watu mapema bila sisi kujua....