sasa nyie mmechagua diwani wa ccm mkitegemea nini?Ziara yake ni anatatua hizo kero at the spot au anatoa maelekezo papo hapo, huoni utofauti wake? Kwa lugha nyingine kile wabunge na madiwani wanachofanya yeye amekuja kukitatua mojakwa moja na kutoa maelekezo. Kwenye mtaa wetu tulikuwa na kero ya mda mrefu ya mfereji wa kiwanda cha bia kuwa na miondombinu mibovu iliyochokaa inayoshindwa kucontrol maji hayo machafu toka kiwandani na kusababisha kero kwa wakazi, diwani tulikuwa naye Ila hukupeleka kero hiyo sehem husika kwa sababu tu alikuwa akipokea rushwa.
You talk like a piece of trash!!!Nini mnaongelea humu? Heading haieleweki, content ndio nonsense kabisa, senseless rubbish! Tuache kulalamika kama wanawake
Inawezakanaau ndo maandalizi ya mwaka 2025!
Time will tell...Inawezakana
Nini mnaongelea humu? Heading haieleweki, content ndio nonsense kabisa, senseless rubbish! Tuache kulalamika kama wanawake
Kama upuuzi wa kiwango cha kusikitisha ni wa Makonda jioni ya leo akiwa kwenye kitu kinachoitwa ziara ya kusikiliza kero za wananchi.
Nikiwa niko Jof pub njia ya Ubungo Maziwa nilishuhudia msafara wa magari yasiyopungua 35 yakiwemo ya jeshi la polisi trafiki na FFU yote yakiwa full loaded.
Gari nyingine zote hazikupungua watu wane! Hakukuwa na gari ndogo hata moja VX V8 zilikuwa tano! Shangilieni huu upuuzi lakini mjue hiki kiama ni chetu sote....
Aisee! Leme reserve my comment at least for now...!- Mkuu wa Mkoa wa Dar anasafiri kwenda kutembelea Wananchi na Mkoa mzima kujua kero za Wananchi, Wahusika wote wa Mkoa Serikalini ni wajibu wao kuwepo kwenye Ziara hizo kwa sababu wao ndio wanaotakiwa kujibu kero za Wananchi hapo hapo,
- Imagine kutoka hoja za list of shame mpaka kwenye Kufikia hoja za kuhesabu magari ya Msafara wa Mkuu wa Mkoa hahahahahaha kweli mmefika mbali sana, poleni sana huko!!
le Mutuz
Watu kwa uwezo na nafasi zao wanavyowadhulumu wanyonge, wazee,wajane wawatu wamekuwa wakidhulumiwa haki zao, ambao sasa wamepata matumaini baada ya ziara ya makonda kwa kuwa sasa wamepata msaada. Wewe hilo kwako huoni kuwa ni LA maana zaidi kushinda huo msafara wa magari? Ifikie muda tujifunze Ku appreciate kwa mambo mazuri.Tuache chuki zisizo na faida yoyote. Laiti wewe ungekuwa mmoja wa MTU aliyedhurumiwa haki au usiyependa kuona MTU anadhurumiwa kwa sababu tu ya unyonge wake hilo LA msafara wa magari katu lisingekuwa jmbo LA maana kwako.
HajalibiwiKama upuuzi wa kiwango cha kusikitisha ni wa Makonda jioni ya leo akiwa kwenye kitu kinachoitwa ziara ya kusikiliza kero za wananchi.
Nikiwa niko Jof pub njia ya Ubungo Maziwa nilishuhudia msafara wa magari yasiyopungua 35 yakiwemo ya jeshi la polisi trafiki na FFU yote yakiwa full loaded.
Gari nyingine zote hazikupungua watu wane! Hakukuwa na gari ndogo hata moja VX V8 zilikuwa tano! Shangilieni huu upuuzi lakini mjue hiki kiama ni chetu sote....