RC Makonda ammwagia sifa Mkuu wa Wilaya ya Pangani, atoa zawadi ya gari

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,646
143,004
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amesema DC wa Pangani ambaye ndiye mwenye umri mdogo kuliko maDC wote ni mchapakazi kweli.



Makonda amesema mkuu huyo wa wilaya ambaye ni mwanadada ni mbunifu na asiyechoka katika kuwaletea maendeleo wananchi wa Pangani na mkoa wa Tanga kwa ujumla.

Kadhalaka mh Makonda ametoa zawadi ya gari kwa malkia wa nguvu ambayo ataikabidhi siku ya Mei mosi pale uwanja wa uhuru.

Source: Clouds tv
 
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amesema DC wa Pangani ambaye ndiye mwenye umri mdogo kuliko madc wote ndio mkuu bora wa wilaya kuliko wengine wote.

Makonda amesema mkuu huyo wa wilaya ambaye ni mwanadada ni mbunifu na asiyechoka katika kuwaletea maendeleo wananchi wa Pangani na mkoa wa Tanga kwa ujumla.
Kadhalaka mh Makonda ametoa zawadi ya gari kwa malkia wa nguvu ambayo ataikabidhi siku ya Mei mosi pale uwanja wa uhuru.

Source Clouds tv
Maendeleo hayana vyama!
Na yule wa Tunduru ambaye Ukuu wa Mkoa unamwita?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amesema DC wa Pangani ambaye ndiye mwenye umri mdogo kuliko madc wote ndio mkuu bora wa wilaya kuliko wengine wote.

Makonda amesema mkuu huyo wa wilaya ambaye ni mwanadada ni mbunifu na asiyechoka katika kuwaletea maendeleo wananchi wa Pangani na mkoa wa Tanga kwa ujumla.
Kadhalaka mh Makonda ametoa zawadi ya gari kwa malkia wa nguvu ambayo ataikabidhi siku ya Mei mosi pale uwanja wa uhuru.

Source Clouds tv
Maendeleo hayana vyama!
Swali fikirishi nani mkuu wa mkoa bora Tanzania
 
Back
Top Bottom