FATHER OF HISTORY
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 804
- 474
Yes hilo nalo neno maana jamaaa anavyopenda misifa
Kama vipi atupe Index Number tukacheki wenyewe pale Pamba Sec
Yes hilo nalo neno maana jamaaa anavyopenda misifa
Vita muhimu ni ya madawa ya kulevya. Kuondoa mateja wote mitaani, na kurudisha vijana wenye nguvu na faida kwa taifa lao.hata akivitoa mtasema ni vya kugushi.. kwani mna maana nyie. muacheni aendelee na kazi zake na nyie endeleeni na ya kwenu. hata hivo cheti hicho mnachotaka haikuwa criteria ya kuchaguliwa kwake.
Na jamaa alivyo na kiherehere sikyu nyingi angeitisha press conference,Atazungumza nini wakati hana cheti? Angekua nacho angekitoa siku nyingi sana.
Kipo sasa blazaIli kukata mzizi wa fitna makonda akioneshe cheti chake hadharani.....
Ova
Ukimaanisha Cheti kipo ila hataki tu kukitoa...!?waliwai kudai hati ya muungano ilipoletwa waliikataa katakata . wacha dawa iwaingie hakuna namna
Ukimaliza tu uploadie na cheti mkuu....Safarihii Chadema wamekutana na jeshi la mtummoja anawakimbiza kwelikweli povu linawatoka. Makonda shikilia hapohapo, Ukisikiakelelenyingi ujue dawa inaingia. Unawalazanaviatu ata maMvi anaufahamu mziki wako. Ulimkalisha mapeeema, mbaka aka
mua aende kuinunua Chadema.
Kwa hiyo ni kweli mpo alostoUsilete Ugomvi wa Mawe kama Nyumba yako ni ya Vioo........!
Mkuu.....Kwa hiyo ni kweli mpo alosto
Tulikuwa na rc anaitwa Mulongo alikuwa na kiburi cha hali ya juu acha huyu dogo. Yuko wapi?? Kila zama ina ngoma yakeHuyu jamaa anakiburi sana. Nacte wapo wapo tu kazi kuonea wanyonge tu. Poor Tanzania
Mke wa bashite soon mnapisha ofisiniHahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Analima kabeji pale Musoma, kutoka u RC hadi kuwa peasantTulikuwa na rc anaitwa Mulongo alikuwa na kiburi cha hali ya juu acha huyu dogo. Yuko wapi?? Kila zama ina ngoma yake
Asubiri tuone mwisho wa kiburi chake.
Mke wa bashite soon mnapisha ofisini
Huyu mlongo alikuwa ana bwembwe hatari na jeuri sasa hivi kabaki historia tuAnalima kabeji pale Musoma, kutoka u RC hadi kuwa peasant