RC Kilimanjaro: Mama Mgwira, hongera: Kwa uongozi wako umefanya vizuri japo hawatasema, nikusemee machache

Kididimo

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
3,791
3,360
1. Ni kati ya mikoa 4 iliyopunguza maambukizi ya ukimwi ; ni 2.6% (2017).

2. Ni Mkoa wa 3 kwa kuuza kwa wingi vitambulisho vya wajasiriamali (77.85% ya lengo 2019)

3. Ni Mkoa wa 1 kwa ufaulu kidato cha 4 mara mbili mfululizo( 2017 na 2018).

4. Ni Mkoa wa 2 Kitaifa kuwa na asilimia ndogo ya umasikini wa kaya (10.5% kwa 2017/ 2018) . Wa kwanza ukiwa ni DSM (8%).

Vigezo ni vingi, ila kwa hivi vichache, niishie hapo. Hongera sana mama yetu, umeonyesha mfano bora wa uongozi. Tulitamani uhamishiwe mkoani kwetu, nasi tufaidi uongozi wako.
 
1. Ni kati ya mikoa 4 iliyopunguza maambukizi ya ukimwi ; ni 2.6% (2017).

2. Ni Mkoa wa 3 kwa kuuza kwa wingi vitambulisho vya wajasiriamali (77.85% ya lengo 2019)

3. Ni Mkoa wa 1 kwa ufaulu kidato cha 4 mara mbili mfululizo( 2017 na 2018).

4. Ni Mkoa wa 2 Kitaifa kuwa na asilimia ndogo ya umasikini wa kaya (10.5% kwa 2017/ 2018) . Wa kwanza ukiwa ni DSM (8%).

Vigezo ni vingi, ila kwa hivi vichache, niishie hapo. Hongera sana mama yetu, umeonyesha mfano bora wa uongozi. Tulitamani uhamishiwe mkoani kwetu, nasi tufaidi uongozi wako.
Hiyo ya ufaulu kidato cha nne sifa ziende kwa kanisa katoliki mkuu ,serikali haina mkono wake hapo hata kidogo
 
Hiyo kuuza vitambulisho sifa na heshima ziende kwa wakazi wote wa mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga kwa kujitambua kuwa hakuna serikali inayoweza kuwaletea chakula nyumbani.
Wachaga ni kuwaza biashara 24/7 tu mambo mengine ni ziada hata mchezo wa kikubwa!!
 
1. Ni kati ya mikoa 4 iliyopunguza maambukizi ya ukimwi ; ni 2.6% (2017).

2. Ni Mkoa wa 3 kwa kuuza kwa wingi vitambulisho vya wajasiriamali (77.85% ya lengo 2019)

3. Ni Mkoa wa 1 kwa ufaulu kidato cha 4 mara mbili mfululizo( 2017 na 2018).

4. Ni Mkoa wa 2 Kitaifa kuwa na asilimia ndogo ya umasikini wa kaya (10.5% kwa 2017/ 2018) . Wa kwanza ukiwa ni DSM (8%).

Vigezo ni vingi, ila kwa hivi vichache, niishie hapo. Hongera sana mama yetu, umeonyesha mfano bora wa uongozi. Tulitamani uhamishiwe mkoani kwetu, nasi tufaidi uongozi wako.
Ni sifa nzuri sana. Ila namba 3 na namba 4 zilikuwepo hata kabla ya anna kuteuliwa.
 
... Mkoa wa Kilimanjaro una sifa hizo na nyinginezo nyingi nzuri toka enzi miaka mingi kabla Mama Mgwira hajazaliwa wacha kujitoa ufahamu.
 
...................Kilimanjaro hakuna kiongozi atakaethubutu kutamba kwamba kwa juhudi zake amebust kipato cha wananchi maana kule tayari jamii imeamka sana kwenye utafutaji wenye tija,naposema wenye tija namaanisha hawatafuti kula ya siku moja wao wanatafuta vya kutosha maisha yao yote sometimes na wale wanaowazunguka.

Pia sijawahi kuelewa hizi sifa wanazopewa wanasiasa kutokana na jambo fulani kupungua kukithiri kwa jamii fulani hali ya kuwa wote wanayajua madhara yake ndo maana wanaamua kulikwepa,wakupongezwa ni wananchi siyo huyo mwanamama.
 
1. Ni kati ya mikoa 4 iliyopunguza maambukizi ya ukimwi ; ni 2.6% (2017).

2. Ni Mkoa wa 3 kwa kuuza kwa wingi vitambulisho vya wajasiriamali (77.85% ya lengo 2019)

3. Ni Mkoa wa 1 kwa ufaulu kidato cha 4 mara mbili mfululizo( 2017 na 2018).

4. Ni Mkoa wa 2 Kitaifa kuwa na asilimia ndogo ya umasikini wa kaya (10.5% kwa 2017/ 2018) . Wa kwanza ukiwa ni DSM (8%).

Vigezo ni vingi, ila kwa hivi vichache, niishie hapo. Hongera sana mama yetu, umeonyesha mfano bora wa uongozi. Tulitamani uhamishiwe mkoani kwetu, nasi tufaidi uongozi wako.
Afufue kiwanda kimoja tu kati ya vilivyfungwa hakika nitampa sifa zoooote huyu mama .
 
... Mkoa wa Kilimanjaro una sifa hizo na nyinginezo nyingi nzuri toka enzi miaka mingi kabla Mama Mgwira hajazaliwa wacha kujitoa ufahamu.
afufue viwanda ndio tutajua kuwa huyu mama anampa support rais wetu vinginevyo aache kutembelea nyota aliyoikuta .
 
inawezekana sifa zikawa ni zake ila sio peke yake umesahau kama kwenye mkoa kuna wabunge, madiwani mameya nao pia wanafanya kazi ambazo kwanjia moja ama nyengine wanashirikiana na Madam hapo? ungesema serikali ya mkoa wa Kilimanjaro imejitahidi na sifa sio kwa kiongozi mmoja
 
Ulieanzisha uzi huu kwa hakika hujitambui. Unawajua wakazi wa mkoa huu wakoje? Acha utani kabisa. Unadhani huyu mkuu wa mkoa kafanya nini? Siku nyingine kabla hujaandika chochote juu ya mkoa huu fanya utafiti wa kutosha
1. Ni kati ya mikoa 4 iliyopunguza maambukizi ya ukimwi ; ni 2.6% (2017).

2. Ni Mkoa wa 3 kwa kuuza kwa wingi vitambulisho vya wajasiriamali (77.85% ya lengo 2019)

3. Ni Mkoa wa 1 kwa ufaulu kidato cha 4 mara mbili mfululizo( 2017 na 2018).

4. Ni Mkoa wa 2 Kitaifa kuwa na asilimia ndogo ya umasikini wa kaya (10.5% kwa 2017/ 2018) . Wa kwanza ukiwa ni DSM (8%).

Vigezo ni vingi, ila kwa hivi vichache, niishie hapo. Hongera sana mama yetu, umeonyesha mfano bora wa uongozi. Tulitamani uhamishiwe mkoani kwetu, nasi tufaidi uongozi wako.
 
Ulieanzisha uzi huu kwa hakika hujitambui. Unawajua wakazi wa mkoa huu wakoje? Acha utani kabisa. Unadhani huyu mkuu wa mkoa kafanya nini? Siku nyingine kabla hujaandika chochote juu ya mkoa huu fanya utafiti wa kutosha
Tupe utafiti wako kwa takwimu tuupime.
 
Acha miheko Kilimanjaro ni watu wenyewe wanajitambua na siyo mkuu huyo wa Mkoa hajajenga shule yeye hujatoa mtaji kwa wafanyabiasha na umaskini ni juhudi za watu binafsi na hakwenda kuhumiza watu wafanye kazi kwa muda aliokaa pale hawezi timiza yote hayo ameyasema tayari, anajaribu kuhamasisha ila watu walishahamasika cku nyingi. Wachagga hongereni
1. Ni kati ya mikoa 4 iliyopunguza maambukizi ya ukimwi ; ni 2.6% (2017).

2. Ni Mkoa wa 3 kwa kuuza kwa wingi vitambulisho vya wajasiriamali (77.85% ya lengo 2019)

3. Ni Mkoa wa 1 kwa ufaulu kidato cha 4 mara mbili mfululizo( 2017 na 2018).

4. Ni Mkoa wa 2 Kitaifa kuwa na asilimia ndogo ya umasikini wa kaya (10.5% kwa 2017/ 2018) . Wa kwanza ukiwa ni DSM (8%).

Vigezo ni vingi, ila kwa hivi vichache, niishie hapo. Hongera sana mama yetu, umeonyesha mfano bora wa uongozi. Tulitamani uhamishiwe mkoani kwetu, nasi tufaidi uongozi wako.
 
Back
Top Bottom