Hii ngoma bado mbichi. This isn't permanent solution. Tengenezeni barabara zinazotoka nje ya jiji,tatizo la jiji la Mbeya halina barabara za mitaa hasa kata za pembezoni
Mipango mji wa Mbeya jiji na Sumatra na wenye mamlaka acheni uvivu wa kufikiria,chezesheni akili zenu mtuletee ufumbuzi wa kudumu kwa tatizo hilo!
Kama mnashindwa njoeni Pm tuwafundishe namna ya kuifanya Mbeya iwe ya kisasa.
Kero nauli kutoka Sai-Simike 800,nsalaga-stand kuu 400,igawilo standkuu 500,nanenane-kadege 800,Mama john-kadege 800,mama joni-standkuu 400,Igawilo-mbalizi 800,Ilomba -Simike 800😲😲🤔
Abiria nasisi tuitishe mgomo wetu huenda tukasikilizwa.