MPUNGA MMOJA
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 304
- 401
Baadhi ya Mazimio ya kikao cha pamoja RC Homera na Wamiliki wa Daladala,Bajaj na Wadau wa Usafirishaji Mbeya.
~ Bajaj mwisho kupakia watu 3
~ Bajaj haziruhusiwi kuchukua abiria njiani
~ Ndani ya siku 14 Madereva Bajaj/Daladala na Tax wote wawe na leseni hai
~ katika sheria hakuna sehemu inatambua Bajaj ni Daladala bali ni usafiri wa kukodi.
Sheria za SUMATRA hazitambui kama Bajaj ni Daladala bali ni chombo cha kukodi.
~ Bajaj mwisho kupakia watu 3
~ Bajaj haziruhusiwi kuchukua abiria njiani
~ Ndani ya siku 14 Madereva Bajaj/Daladala na Tax wote wawe na leseni hai
~ katika sheria hakuna sehemu inatambua Bajaj ni Daladala bali ni usafiri wa kukodi.
Sheria za SUMATRA hazitambui kama Bajaj ni Daladala bali ni chombo cha kukodi.