GE2025 RC Chalamila: Vijana wachache ubungo wamejaribu kufanya vurugu ila tupo imara kuliko jana

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameeleza kuwa hali ya amani na utulivu inaendelea kuimarishwa jijini Dar es Salaam na kueleza kuwa vurugu kidogo zilizojaribu kutokea katika eneo la Ubungo, zimedhibitiwa


Your browser is not able to display this video.
 
Hizi kauli za kujimwambafy tuko imara kuliko jana hazina mashiko!! Kwa hii movement ya watanzania kufikia hatua ya kujitokeza kwa uchache kuandamana kunawajemgea uthubutu na ujasiri taratibu. Ni muhimu kuwasikiliza wananchi nn wanataka!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…