Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,498
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kuwa mchakato wa kupata katiba mpya si jambo jepesi hususan kwa kipindi cha miezi mitatu iliyobakia kuelekea uchaguzi mkuu.
"Si jambo jepesi Asubuhi ukaamka Katiba ikawa imebadilika"
"Miezi mitatu hii ambayo tumeibakisha mkakaa na majopo ya Watu kuanza kuitengeneza hiyo Katiba ambayo tunasema tunataka Katiba mpya. Is Impossible under the sun"
Chalamila ameyasema hayo leo Julai 8, 2025 kwenye kikao maalumu na viongozi wa dini, kilichofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.
"Si jambo jepesi Asubuhi ukaamka Katiba ikawa imebadilika"
"Miezi mitatu hii ambayo tumeibakisha mkakaa na majopo ya Watu kuanza kuitengeneza hiyo Katiba ambayo tunasema tunataka Katiba mpya. Is Impossible under the sun"
Chalamila ameyasema hayo leo Julai 8, 2025 kwenye kikao maalumu na viongozi wa dini, kilichofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.