RC Chalamila: Dar ni washamba tu hapa Mbeya tunafanya kazi na kupiga bia kila siku hatusubiri kufunguliwa Jumapili

Huyu kama atakuwa ameacha kuvuta, basi itakuwa siku za karibuni na alikuwa anapata ile special kutoka Arusha. Pia atakuwa alikuwa anavutia chooni (choo cha shimo) na kupulizia humo shimoni.

Mara nyingi waliovuta kwa stahili hiyo ndio huongea hivi, hata angepewa u-PM busara ingekwamia hapo.
 
Watu wenye vichwa modeli ile wana akili finyu sana
 
Kuna haja ya kufanya mental health screening kwa viongozi wa nyadhifa zote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…