wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya na baadaye Mwanza, mh Chalamila leo ametinga kwa mwamposa.
Mh Chalamila amewataka watanzania kuliombea taifa. Lakini pia amepata nafasi ya kuombewa na Mwamposa na kumpatia kibali cha ukuu.
Kwa maombi haya tutarajie mbingu kufunguka tena? Kwa sasa mh Chalamila anaendelea na masomo ya udaktari wa filosophia. Tusikate tamaa, tuendeleze kuzipambania ndoto zetu.
Mh Chalamila amewataka watanzania kuliombea taifa. Lakini pia amepata nafasi ya kuombewa na Mwamposa na kumpatia kibali cha ukuu.
Kwa maombi haya tutarajie mbingu kufunguka tena? Kwa sasa mh Chalamila anaendelea na masomo ya udaktari wa filosophia. Tusikate tamaa, tuendeleze kuzipambania ndoto zetu.