Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,702
- 55,443
Kapu La Mjinga Mwerevu Anatia MkonoMwamposa anajipigia tu
Ova
Kapu La Mjinga Mwerevu Anatia MkonoMwamposa anajipigia tu
Ova
Tulipokosea ni pale tulipoipa siasa thamani kubwaAliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya na baadaye Mwanza, mh Chalamila leo ametinga kwa mwamposa.
Mh Chalamila amewataka watanzania kuliombea taifa. Lakini pia amepata nafasi ya kuombewa na Mwamposa na kumpatia kibali cha ukuu.
Kwa maombi haya tutarajie mbingu kufunguka tena? Kwa sasa mh Chalamila anaendelea na masomo ya udaktari wa filosophia. Tusikate tamaa, tuendeleze kuzipambania ndoto zetu.
Na baada ya hapo atafungua nae kanisa lake.Aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya na baadaye Mwanza, mh Chalamila leo ametinga kwa mwamposa.
Mh Chalamila amewataka watanzania kuliombea taifa. Lakini pia amepata nafasi ya kuombewa na Mwamposa na kumpatia kibali cha ukuu.
Kwa maombi haya tutarajie mbingu kufunguka tena? Kwa sasa mh Chalamila anaendelea na masomo ya udaktari wa filosophia. Tusikate tamaa, tuendeleze kuzipambania ndoto zetu.
Nadhani alikuwa anatarget zaidi beer & mibususuHe was just a comedian
😂😂😂😂Nadhani alikuwa anatarget zaidi beer & mibususu
Koo huwa sio kupimo cha undg ndg yangu!Kuna kina Chalamila wa2 wamedakwa huko na bil 2.sijui wana undugu
Chalamila hakuwa any threat to anyone!Ndiyo maana,hata wabishi kama "mimi" hatuna lolote la kumsiginia kunguni.Ni simple,anapenda stand-up comedy!😂😂😂😂He was just a comedian
Aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya na baadaye Mwanza, mh Chalamila leo ametinga kwa mwamposa.
Mh Chalamila amewataka watanzania kuliombea taifa. Lakini pia amepata nafasi ya kuombewa na Mwamposa na kumpatia kibali cha ukuu.
Kwa maombi haya tutarajie mbingu kufunguka tena? Kwa sasa mh Chalamila anaendelea na masomo ya udaktari wa filosophia. Tusikate tamaa, tuendeleze kuzipambania ndoto zetu.
Hakuna tofauti na "msemaji wa serikali" aanze kujikuna "msambani" wakati yupo mbele ya hadhara anatoa taarifa.
Iweke hapa hiyo taarifa yote ili tuwatafutie mawakili wa kuwatetea! Mimi binafsi nitawatetea mahakamani najua nitaambulia 200m Kama ujira!Mwambieni Chalamila ndugu hake kakamatwa huko Iringa kwa wizi wa bilioni mbili na ushee!
Inapendeza kusikia Mwendawazimu na Mchawi wamekutana na Kudanganyana Mubashara kabisa.Aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya na baadaye Mwanza, mh Chalamila leo ametinga kwa mwamposa.
Mh Chalamila amewataka watanzania kuliombea taifa. Lakini pia amepata nafasi ya kuombewa na Mwamposa na kumpatia kibali cha ukuu.
Kwa maombi haya tutarajie mbingu kufunguka tena? Kwa sasa mh Chalamila anaendelea na masomo ya udaktari wa filosophia. Tusikate tamaa, tuendeleze kuzipambania ndoto zetu.
OhoooAona mzee wa kusifu na kuabudu enzi za mwendazake..kaenda kufungamanishwa na madhabahu ya mwamposa..ni mwendo wa kukanyaga mafuta tu..wapinzani wake jiandaeni kwa anguko lenu.
#MaendeleoHayanaChama