Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 14,615
- 32,108
Huyu RC kabisa anakaa kuongelea suala la kipuuzi kama hili kwenye kusanyiko la watu? Kutongozwa na mwanamke anaona ni big deal na hadi kushirikisha police?
Watu wenye akili wanamtizama na kuona ana utoto na ufala tu. Angeweza mblock huyo mwanamke na maisha yakaendelea. Au angemu ignore tu wala isingempunguzia kitu. Hawa viongozi wanapoteza muda wa watu kukaa kuzungumzia mambo personal ya kipumbavu ambayo hayahitaji hata certificate ku deal nayo.
Wapo watu wana tatizo la afya ya akili tu kama huyo dada wala hakukuwa na haja ya kumdhalilisha namna hii. Huo ni ufala pengine yeye anaona ndo ataonekana mwadilifu kwa kitendo hiki.
Watu wenye akili wanamtizama na kuona ana utoto na ufala tu. Angeweza mblock huyo mwanamke na maisha yakaendelea. Au angemu ignore tu wala isingempunguzia kitu. Hawa viongozi wanapoteza muda wa watu kukaa kuzungumzia mambo personal ya kipumbavu ambayo hayahitaji hata certificate ku deal nayo.
Wapo watu wana tatizo la afya ya akili tu kama huyo dada wala hakukuwa na haja ya kumdhalilisha namna hii. Huo ni ufala pengine yeye anaona ndo ataonekana mwadilifu kwa kitendo hiki.