RC Arusha vs kituo cha redio kilichomhoji Lema

RC Arusha vs kituo cha redio kilichomhoji Lema

ndo tatizo la tz..jitu lilikwa sijuo pishi magereza unalipa u rc linaweweseka tu nakuwehuka katika maamuzi..ndo maana watu wanawaingiza vijiti matakoni kama walivomfanya gadafi

Kwa kweli katiba mpya iwe na minimum qualification kwenye nafasi kama hizi siku tutakutana na ma-chizi ofisini nao wamepewa nafasi za kutukandamiza
 
Kwani kosa liko kwa kituo kumhoji lema au ni matamushi aliyotoa lema dhidi ya mkuu huyo wa mkoa? Nahisi huyu RC mpya wa Arusha ataishia pabaya na mkoa utamshinda
 
mkuu kuna search warrant yeyote waliokuwa nayo polisi kutoka kwa jaji ?? bila hivyo the search was illegal na kingine ni kwamba kama hawapendi alichoongea LEMA wanapaswa kumfuata ni Lema na siyo RADIO kwani radio ni mesenja na huwezi ku edit strong opinion za mgeni kwenye kipindi.

hapo umenena mkuu kwa utaira walionao hao walioenda kupekua kituo cha redio wanaweza kwenda tu bila hiyo search warant na kama kweli wamefanya hivyo ni kuwashitaki tu si radio yenyewe bali tasisi za kiraia zifanye hivyo kwa niaba ya radio maana wanatubana kila kona hata midomo yetu
 
Huyo RC anaidi kujishushia hadhi yake hawezi kushindana na umma ataaibika mwishoni
 
Ameanza mapema mno kuonyesha udikteta alio nao

Mkubwa! Kweli huyu ameanza mapema sana,na ngoja ndiyo napita hapa ilipo hii kituo cha radio Sunrise na bila shaka kama ilivyo ada ye2 wanaJF na nikipata news yeyote kuhusu huyu (RC) MJINGA na bila shaka ntawajuza!
 
Katika hali isiyotarajiwa leo majira ya saa 9 mkuu wa mkoa Arusha aliamuru uvamizi katika kituo cha redio ( jina sikulinasa lakini sio triple A).

Madai ni kuwa kituo hicho kilifanya mahojiano na mh. Lema na akatumia nafasi hiyo kumtukana RC. Polisi walifanya upekuzi na kusikiliza kumbukumbu za kipindi hicho na kuwahoji baadhi ya wafanyakazi kwa karibia masaa matatu. Kisha waliondoka wakidai watarudi kama watabaini kuna kosa lilitendeka.

SOURCE WAPO FM.

Si kila mtu anaweza kuwa mkuu wa mkoa, wengine hata huo ukuu wa wilaya hawakustahili!!!!!. Hahaaaaaa, from ukuu wa wilaya Bagamoyo mpk Mkuu wa mkoa Arusha!!!, si angepelekwa japo Lindi kwanza?. Ngoja tusubiri.
 
unajua bwana tatizo la hawa watu wa rangi ya green wanatumia sehemu zao nyeti kufikiri ndo mana hawawezi kuchanganua mambo, sasa hicho chombo cha habari na lema vinahusiana nini? cha kumshauri tu huyo rc ajipange upya na atumie sehemu husika kufikiri.
 
Back
Top Bottom