Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
HATIMAE THE GREATEST APATA JIKO
Baada ya mianjo ya muda mrefu nimeuanza mwaka wa 2011 kwa kuweka mtoto ndani lakini kwa siri mno.Ujana una muda wake na una mwisho wake lakini kwa sasa nimeamua kuweka mambo yote pembeni na kuamua kutulia kwa mmoja tu Bi Ramla.Huu ndio mwanzo kwa mwaka huu 2011 na kuna mambo mengi nitawashangaza watu si kuweka kitu ndani tuu,Na huu ndio mwanzo wa GREATEST kwa mwaka huu 2011
Mtakuwa mnashangaa kwa mavazi haya imekuwaje tena,Ndio hivyo tena mambo ya kupenda
Huyu ndie mke wangu kwa sasa,Bi Ramla
Katika picha ya pozi
Nikiwa na wife
Tukibadilishana mawazo na wife
Tukielekezana kitu
Natembea na bakola mambo ya pwani hayo
Baada ya mianjo ya muda mrefu nimeuanza mwaka wa 2011 kwa kuweka mtoto ndani lakini kwa siri mno.Ujana una muda wake na una mwisho wake lakini kwa sasa nimeamua kuweka mambo yote pembeni na kuamua kutulia kwa mmoja tu Bi Ramla.Huu ndio mwanzo kwa mwaka huu 2011 na kuna mambo mengi nitawashangaza watu si kuweka kitu ndani tuu,Na huu ndio mwanzo wa GREATEST kwa mwaka huu 2011
Mtakuwa mnashangaa kwa mavazi haya imekuwaje tena,Ndio hivyo tena mambo ya kupenda
Huyu ndie mke wangu kwa sasa,Bi Ramla
Katika picha ya pozi
Nikiwa na wife
Tukibadilishana mawazo na wife
Tukielekezana kitu
Natembea na bakola mambo ya pwani hayo