Naona JF inataka kugeuzwa kijiwe cha kahawa, ina maana wewe ndugu miaka yote hii kama ni shabiki wa ray c hujui background yake? Kuna blogs kibao zinaweza kukujuza hili au kama vp piga simu Clouds radio kwenye kipindi kile cha wale mach..... Cha XXL watakupa majibu...