BaabKubwa Magazine
Member
- Aug 6, 2014
- 7
- 3
Baada ya kusimama tena kwenye game Rehema Chalamila aka Ray C ambaye aliwahi kutamba na ngoma kibao kama ‘Milele', ‘Nimezama', ‘Uko Wapi' and as soon as possible she will be back again kwenye Bongo Flava.
Ray C alikuwa muadhirika wa madaya ya kulevya na kumpelekea kupotea kabisa kwenye ramani ya muziki kutokana kuvuta mdude. BK Cop alimpiga na these questions:
BK: Bada ya kupigana chini na boyfriend wako
Lord Eyez sasa upo na nani?
RAY C: Kiukweli sina mpango na mwanaume......GET YOUR COPY!!
Ray C alikuwa muadhirika wa madaya ya kulevya na kumpelekea kupotea kabisa kwenye ramani ya muziki kutokana kuvuta mdude. BK Cop alimpiga na these questions:
BK: Bada ya kupigana chini na boyfriend wako
Lord Eyez sasa upo na nani?
RAY C: Kiukweli sina mpango na mwanaume......GET YOUR COPY!!