Naonbeni msaada viongozi ... hii gari jana imetokea tu ghafla na kuanza kubugia mafuta balaa ... na hiyo hiyo jana ilikuwa engine inavujisha oil ndio tukafungua oil seal na kubadili ... sasa hili la kunywa sana mafuta ndio limenishtua wakuu ... na kabla ya jana ilikuwa iko vizuri sana kwa unywaji wa mafuta ....
Msaada Wakuu .....
Msaada Wakuu .....