- Thread starter
- #21
Mbona bei ipo mkuu. Isizidi 7mBei gani?
Mbona bei ipo mkuu. Isizidi 7mBei gani?
Mkuu nipo serious, niliongezea videzo ninavyotaka.Kama ukifatilia uzi,utaona, ila bei za jamaa juu, zaidi ya kiwango changu, halafu wengi ni namba A wakati mi nataka B/CHuwezi kupata maana wadau wameshakuona haupo Serious! Badili ID au fungua UZI mpya utangaze tena in details ni nini hasa unahitaji
Mkuu asante, kiwango changu kidogo. Mi nimejibana isizidi 7mipo Namba C
BEI 10m negotiable
colour RED
good condition
ukiona hivyo fahamu bei yako na kile unachokitaka haviendani, yaani unataka kitu cha gharama zaidi wakati pesa yako ndogoMkuu nipo serious, niliongezea videzo ninavyotaka.Kama ukifatilia uzi,utaona, ila bei za jamaa juu, zaidi ya kiwango changu, halafu wengi ni namba A wakati mi nataka B/C
Asante mkuuukiona hivyo fahamu bei yako na kile unachokitaka haviendani, yaani unataka kitu cha gharama zaidi wakati pesa yako ndogo
Ukilazimisha hilo utauziwa kitu kibovu kikuumize. Pata kile kinachoendana na thamani ya Pesa yako au kajipange tena uweze kufikia bei ya wengi na hapo nina uhakika utapata bidhaa nzuriAsante mkuu
Ngoja nijipange tena mkuuUkilazimisha hilo utauziwa kitu kibovu kikuumize. Pata kile kinachoendana na thamani ya Pesa yako au kajipange tena uweze kufikia bei ya wengi na hapo nina uhakika utapata bidhaa nzuri
Kila la kheri kiongoziNgoja nijipange tena mkuu