computerkiddy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2015
- 488
- 532
habari wakuu,naulizia ratiba ya mafunzo ya mgambo yaani huwa yanatolewa lini? na huwa yanachukua muda gani,,coz nimeona kuna kitengo fulani nyet wanahitaji watu waliopitia mgambo,polisi,jkt,jwtz
kwa sababu mgambo haina masharti mengi nimeamua kufuatila utaratibu wa kuingia jeshi la mgambo. mwenye kujua taratibu naomba anijuze
kwa sababu mgambo haina masharti mengi nimeamua kufuatila utaratibu wa kuingia jeshi la mgambo. mwenye kujua taratibu naomba anijuze