Ratiba ya maandamano 2026

Mshana wewe ni mtu mkubwa sana hichi ulichoandika sjui ulikuwa unajua effect zake upande wako maana humu tutakusifia tu na kukufanya uonekane shujaa but behind the scene kitachotokea hakuna mtu mwenye msaada humu zaidi ya pole za mdomo
 
Mshana wewe ni mtu mkubwa sana hichi ulichoandika sjui ulikuwa unajua effect zake upande wako maana humu tutakusifia tu na kukufanya uonekane shujaa but behind the scene kitachotokea hakuna mtu mwenye msaada humu zaidi ya pole za mdomo
Mmh sijaandika chochote kibaya lakini.. Haya ndio yanasemwa daily mitandaoni..
 
Mmh sijaandika chochote kibaya lakini.. Haya ndio yanasemwa daily mitandaoni..
Halafu maandamano siyo kosa la jinai! Vitisho ni vya nini tena!!

Mbona siku chache tu zilizopita Yanga na simba walifanya parade zao zilizoambatana na maandamano makubwa, na hatukuona yakipigwa marufuku? Haya mengine kwa nini yanazuiliwa kwa nguvu kubwa?
 
Mshana wewe ni mtu mkubwa sana hichi ulichoandika sjui ulikuwa unajua effect zake upande wako maana humu tutakusifia tu na kukufanya uonekane shujaa but behind the scene kitachotokea hakuna mtu mwenye msaada humu zaidi ya pole za mdomo
kwani ameandika nini cha kuogopesha. kwanini mko hivyo lakini!?
 
The guilty are afraid..!
 
Sasa mbona Tanganyika sio nchi tena WaTanganyika wanatoka wapi
Ndio nchi yetu ya asili kama ilivyo Zanzibar... Tanzania ni jina la makaratasi lisilo na uhalisia wala mizizi ya asili
 
ANDIKO BORA SANA KWA MWAKA HUU. NI BORA KSBB NDIO UHALISIA NA LINAHUSU MAISHA YETU YOTE KWA WAKATI TULIONAO NA WOTE UJAO
 
1. Maadhimisho ya 8/8
2. Ufunguzi wa AFCON
3. Maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa taifa 14. Oct
4. Maadhimisho ya kumbukumbu ya mauaji ya October 29
5. Maadhimisho ya sikukuu za mwisho wa mwaka X-mas na Mwaka mpya!
Naunga Mkono hiyo ratiba yaani hakuna kupoa ,MWAMWI....Kila Jumatatu na Alhamis - Maria Space kujumuika kwa wingi ,ni kuwapiga tu kiuchumi mpaka waombe pooo!!
 
Haya madai ambayo unataka yafanyiwe kazi ni yapi au umeamua tu kuhamasisha vurugu mitandaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…