KIDOLEGUMBA
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 498
- 110
- Thread starter
- #21
Kama kuna mapenzi ya dhati, hata kama mnatoka kazini mmechoka kiasi gani!!!! Kama kuna mahusiano mazuri hakuna ratiba ya kufanya mapenzi, kama mmojawapo amechoka basi ni kazi kumliwaza mwenzie kwa maneno na huba tamu kumsaidia mwenzie apate hisia, mkisikilizana na kupendana kwa dhati mapenzi hayana ratiba, na kama kila jambo mwafanya pamoja basi hata wakati wa kuoga mwaweza maliza mambo huko bafuni. Na kama mmoja anachelewa kurudi basi anaporejea nyumbani unaamka, unampokea kwa huba, maji ya kuoga, anakula kisha mwajongea kitandani, hata mkilala mmekumbatiana kwa upendo ni zaidi ya hilo tendo la ndoa.
Natumai haya yote yatawezekana tu!