KIDOLEGUMBA
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 498
- 110
Habari wadau, Kwa waliondani ya ndoa na wengine wanaoishi pamoja wapenzi wa siku hizi wamekuwa na tabia ya kuweka ratiba ya tendo la faragha /ndoa mfano wengine kwa wiki mara moja, kwa mwezi mara 2 .
Je ni sahihi kwa wapenzi/wanandoa kuwa na ratiba ya tendo la faragha/ndoa au si haki kuwekeana ratiba?
Je ni sahihi kwa wapenzi/wanandoa kuwa na ratiba ya tendo la faragha/ndoa au si haki kuwekeana ratiba?