Ratiba ya faragha chumbani

Ratiba ya faragha chumbani

KIDOLEGUMBA

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2013
Posts
498
Reaction score
110
Habari wadau, Kwa waliondani ya ndoa na wengine wanaoishi pamoja wapenzi wa siku hizi wamekuwa na tabia ya kuweka ratiba ya tendo la faragha /ndoa mfano wengine kwa wiki mara moja, kwa mwezi mara 2 .

Je ni sahihi kwa wapenzi/wanandoa kuwa na ratiba ya tendo la faragha/ndoa au si haki kuwekeana ratiba?
 
SexDateSchedule.jpg
s-MARRIAGE-AND-SEX-large.jpg
9k=
 
hebu nisaidie kuisoma hii picha.. ina maana siku za katikati ya wili/ mwezi mtu anaweza kuwa na hot date so ana-reserve kwa huyo date wake?

ni makubaliano tu baina yenu wawili....
 
Habar wadau, Kwa waliondani ya ndoa na wengine wanaoishi pamoja wapenzi wa siku hizi wamekuwa na tabia ya kuweka ratiba ya tendo la faragha /ndoa mfano wengine kwa wiki mara moja, kwa mwezi mara 2 .
Je ni sahihi kwa wapenzi/wanandoa kuwa na ratiba ya tendo la faragha/ndoa au si haki kuwekeana ratiba?

Tendo la ndoa halina ratiba jombaa, ufanyaji wake unategemea hasa jinsi mnavyoishi!! Kama mnapendana, mnaelewana na mnapokuwa nyumbani mnaishi kimapenzi kweli (romantic) kama kuoga pamoja, kupika pamoja na vitu kama hivyo mtajikuta automatically mnalifanya mara kwa mara sababu ya ule ukaribu na kila mtu akafurahia sana!!

Ila kama mkirudi home kila mmoja na time yake mtajikuta mnakwenda kama kwa ratiba vile, siku tano hamjagusana na mkigusana leo mnakaa tena wiki so inakuwa kama karatiba fulani hivi.

Badilika ufaidi ndoa yako, amri zako kazini kwako nyumbani unakuwa mpolee na mkarimu kwa mwenza wako!!
 
Ratiba huwa zinawekwa bt zisifuatwe ni kutokana na sababu zisizoepukika
 
Tendo la ndoa halina ratiba jombaa, ufanyaji wake unategemea hasa jinsi mnavyoishi!! Kama mnapendana, mnaelewana na mnapokuwa nyumbani mnaishi kimapenzi kweli (romantic) kama kuoga pamoja, kupika pamoja na vitu kama hivyo mtajikuta automatically mnalifanya mara kwa mara sababu ya ule ukaribu na kila mtu akafurahia sana!!

Ila kama mkirudi home kila mmoja na time yake mtajikuta mnakwenda kama kwa ratiba vile, siku tano hamjagusana na mkigusana leo mnakaa tena wiki so inakuwa kama karatiba fulani hivi.

Badilika ufaidi ndoa yako, amri zako kazini kwako nyumbani unakuwa mpolee na mkarimu kwa mwenza wako!!

Hapo ni kweli mkuu ila siku hizi Wanandoa wanakuwa bize kusaka njuruku kiasi kwamba romance inanafasi ndogo sana kwa siku za wiki haswa jumatatu hadi jumamosi! Uchovu na Stress za Ugumu wa maisha pia huondoa kabisaaa romance ndani ya nyumba, Maji yenyewe yanatoka kwa wiki Mara moja mtaani huku.
 
Hapo ni kweli mkuu ila siku hizi Wanandoa wanakuwa bize kusaka njuruku kiasi kwamba romance inanafasi ndogo sana kwa siku za wiki haswa jumatatu hadi jumamosi! Uchovu na Stress za Ugumu wa maisha pia huondoa kabisaaa romance ndani ya nyumba, Maji yenyewe yanatoka kwa wiki Mara moja mtaani huku.

Siyo reason kiviilee!! Mkeo/mumeo ndiyo faraja yako, pambana mchana kutwa lakini unapofika kwa mwenzi wako stress zote tupa kule mnaingia katika mambo mengine na familia yako!! Ndo mana mnakufa siku si zenu kwa kuendekeza stress 24/7!! Wakati unaweza kumaliza stress kwa kumsaidia mkeo kukaanga kaanga huku mkitaniana na kucheka pamoja!!

Usipooga ndo unamwogopa mkeo?? Asipojua unanuka kikwapa unataka adhani unanuka vitunguu??
 
Siyo reason kiviilee!! Mkeo/mumeo ndiyo faraja yako, pambana mchana kutwa lakini unapofika kwa mwenzi wako stress zote tupa kule mnaingia katika mambo mengine na familia yako!! Ndo mana mnakufa siku si zenu kwa kuendekeza stress 24/7!! Wakati unaweza kumaliza stress kwa kumsaidia mkeo kukaanga kaanga huku mkitaniana na kucheka pamoja!!

Usipooga ndo unamwogopa mkeo?? Asipojua unanuka kikwapa unataka adhani unanuka vitunguu??

Du! Sawa mkuu nimepata ujumbe huo!
 
Kama kuna mapenzi ya dhati, hata kama mnatoka kazini mmechoka kiasi gani!!!! Kama kuna mahusiano mazuri hakuna ratiba ya kufanya mapenzi, kama mmojawapo amechoka basi ni kazi kumliwaza mwenzie kwa maneno na huba tamu kumsaidia mwenzie apate hisia, mkisikilizana na kupendana kwa dhati mapenzi hayana ratiba, na kama kila jambo mwafanya pamoja basi hata wakati wa kuoga mwaweza maliza mambo huko bafuni. Na kama mmoja anachelewa kurudi basi anaporejea nyumbani unaamka, unampokea kwa huba, maji ya kuoga, anakula kisha mwajongea kitandani, hata mkilala mmekumbatiana kwa upendo ni zaidi ya hilo tendo la ndoa.
 
Back
Top Bottom