Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau.
Kwa bahati Mbaya Hadi Sasa sijapata Ratiba zifuatazo:
1. Tarehe Rasmi ya kuapishwa Rais Magufuli kuendelea kuongoza kwa Awamu ya 2.
2. Tarehe ya Wapinzani kususia Uchaguzi
3. Tarehe ya Wapinzani kupinga Matokeo ya Uchaguzi
4. Tarehe ya Wapinzani Kuanza Kupokea Makapi Kutokea CCM.
5. Tarehe ya Wabunge Wapinzani wa kukabidhi Ofisi za majimbo Yao kwa Wabunge wateule wa CCM
Ratiba nyingine Ni Kama inavyoonekana Hapo Juu.
Karibuni
Kwa bahati Mbaya Hadi Sasa sijapata Ratiba zifuatazo:
1. Tarehe Rasmi ya kuapishwa Rais Magufuli kuendelea kuongoza kwa Awamu ya 2.
2. Tarehe ya Wapinzani kususia Uchaguzi
3. Tarehe ya Wapinzani kupinga Matokeo ya Uchaguzi
4. Tarehe ya Wapinzani Kuanza Kupokea Makapi Kutokea CCM.
5. Tarehe ya Wabunge Wapinzani wa kukabidhi Ofisi za majimbo Yao kwa Wabunge wateule wa CCM
Ratiba nyingine Ni Kama inavyoonekana Hapo Juu.
Karibuni