Rasmi - Yanga yachomoa kombe la Mapinduzi!!

Rasmi - Yanga yachomoa kombe la Mapinduzi!!

Simba tatueni kwanza gogolo la mtoto wa mjini adeni lage ndiomtambe huko zanziba mnakwenda kuambulia kichapo tuu mmebahatisha bonanza la bia mnafikiri na hilobonanza la zanziba mtaliona timugani umeona inawenyeviti kumi tatueni kwanza hilo gogoro
 
Ndio kawaida yao hao kandambili.hawajajipanga wanaogopa kichapo kingine hao timu yao haiko kimichezo hiko kishabiki zaidi
 
Wametukosesha uhondo, tungekutana nao tungejipigia tano zingine safiiiii.

Mnafikiria kufika mbaali katika mashindano hayo wakati hamjacheza hata mechi moja! Kama mnaitaka Yanga tuandikieni tukutane nanyi tuwanyamazishe, kama hamuwezi kuandika subiri mechi ya ligi round ya II mtapata jibu lenu. Simba yenyewe chovu tu, imetufunga kibahati tu, hata huko Zenji haitafika popote, mtabisha lakini ukweli utadhihirika kwa wakati wake.
 
Simba tatueni kwanza gogolo la mtoto wa mjini adeni lage ndiomtambe huko zanziba mnakwenda kuambulia kichapo tuu mmebahatisha bonanza la bia mnafikiri na hilobonanza la zanziba mtaliona timugani umeona inawenyeviti kumi tatueni kwanza hilo gogoro

'Baada ya dhiki faraja', vivyo hivyo 'Baada ya Zanzibar gogoro'.
 
Timu ya yanga imejitoa kwenye kombe la mapinduzi cup kutokana na kuvunja penchi la ufundi. Sasa kunakiongozi mmoja wa ngazi za juu selikarini amekimbilia kenye chombo kimoja cha redio kwenda kuikandia yanga kutokana na itikadi yake ya simba. Yanga ni timu kubwa nainajiandaa na mashindano ya kimataifa sasa unapoilazimisha yanga icheze mashindano wakati haijajiaandaa wewe nimbumbu wa michezo mawazo yake yote anaangalia yanga ikacheze na simba zanziba nawala siokuangalia mashindano hayo yakimataifa.

kwanini taarifa haikutolewa mapema kama hiyo ndio sababu?
 
Mnafikiria kufika mbaali katika mashindano hayo wakati hamjacheza hata mechi moja! Kama mnaitaka Yanga tuandikieni tukutane nanyi tuwanyamazishe, kama hamuwezi kuandika subiri mechi ya ligi round ya II mtapata jibu lenu. Simba yenyewe chovu tu, imetufunga kibahati tu, hata huko Zenji haitafika popote, mtabisha lakini ukweli utadhihirika kwa wakati wake.

Simba chovu kweli lakini Yanga chovu zaidi au kwa kiswahili kingine Yanga wako dhoofu hali. Mkuu ulishaona wapi timu inafungwa kibahati magoli matatu halafu inatimua benchi zima la ufundi hadi daktari wa timu sijui naye alikuwa hatibu vizuri.

Hebu angalia mwenyewe jinsi goli la kwanza watu walivyopasiana kabla ya kumsamlimia Kaseja, halafu angalia goli la pili jinsi Awadh alivyokuw anapiga watu darizi kabla ya kutoa pasi kwa Singano aliyemnyanyasa Luhende.

SIMBA 3 1 YANGA RIPOTI KAMILI - YouTube

na kisha umalizie na goli la tatu jinsi jamaa yenu alivyoshindwa kurusha mpira vizuri na ukaingia miguuni kwa kijana wa Simba na jinsi Twite alivyokuwa anamkimbia Kaseja badala ya kwenda kumsaidia halafu uje useme kama ni magoli ya bahati.

http://www.youtube.com/watch?v=Ao_8EH8yt38
 
Walishaziona 5-0

Subiri round II tuone kama mtafurukuta na uchezaji wenu wa kubahatisha, leo mko juu, kesho mko chini; mkitoka Zanzibar mtaenda kwa Jaji Mkuu maana inaonekana Spika hajawasaidia. Yetu ni macho na masikio.
 
Sababu kubwa ya uamuzi huo 'Bado hawajapata benchi la uhakika la ufundi'.
Cha kujiuliza ni nini kisa cha kumtimua Brandts!? Je yawezekana baada ya kuangalia timu pinzani uoga umeingia?kwamba kipigo kingine kutoka kwa mnyama iwapo watakutana kitaleta mtafaruku jangwani? Nini hasa?

lakini pia notisi ya siku 30 ingeweza kumfanya Branditis aiongoze Yanga mapinduzi cup, haya Daktari naye amechangia kufungwa?
 
benchi la ufundi bado liko kwa FUNDI
Sababu kubwa ya uamuzi huo 'Bado hawajapata benchi la uhakika la ufundi'.
Cha kujiuliza ni nini kisa cha kumtimua Brandts!? Je yawezekana baada ya kuangalia timu pinzani uoga umeingia?kwamba kipigo kingine kutoka kwa mnyama iwapo watakutana kitaleta mtafaruku jangwani? Nini hasa?
 
Simba tatueni kwanza gogolo la mtoto wa mjini adeni lage ndiomtambe huko zanziba mnakwenda kuambulia kichapo tuu mmebahatisha bonanza la bia mnafikiri na hilobonanza la zanziba mtaliona timugani umeona inawenyeviti kumi tatueni kwanza hilo gogoro

GOGOLO NDIO NINI? halafu hii ndio sababu ya ninyi kujitoa?
 
lakini pia notisi ya siku 30 ingeweza kumfanya Branditis aiongoze Yanga mapinduzi cup, haya Daktari naye amechangia kufungwa?

Umeanza kuingilia mambo ya ndani ya klabu. Yanga ni klabu yenye usajili kisheria, inayo haki na mamlaka ya kufukuza na kuajiri mtu yeyote kwa mujibu wa sheria. Hata hiyo notisi ni kwa mujibu wa sheria siyo kama Simba waliamka tu asubuhi na kuwaambia Kibadeni na Julio: 'Kuanzia leo hamna kazi', mambo hayaendi hivyo watani, badilikeni.
 
Back
Top Bottom