Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
Mabingwa wa mapinduzi cup hapa east Africa (Simba) mwaka huu nimeona wanaingiza kikosi full mkoko (first eleven) tofauti na miaka iliyopita
Hizi zaweza kuwa ni mojawapo ya sababu
1. Uoga, kocha anaogopa kufanya rotation sababu anaogopa lawama.
2. Pia msimu huu Simba haina uhakika wa kubeba kombe la ligi so wanachofanya ni Bora wabebe ubingwa wa mapinduzi.
3. Mashabiki wake wengi ni mbumbumbu, na wanapenda sana kulalamika hovyo. Kwa hiyo viongozi na benchi la ufundi wanalazimika kuwachezesha wachezaji wale wale kuka mechi, ili tu ushindi upatikane......according to Tate Mkuu
NB: Je unahisi sababu zingine zaweza kuwa ni zipi?
Hizi zaweza kuwa ni mojawapo ya sababu
1. Uoga, kocha anaogopa kufanya rotation sababu anaogopa lawama.
2. Pia msimu huu Simba haina uhakika wa kubeba kombe la ligi so wanachofanya ni Bora wabebe ubingwa wa mapinduzi.
3. Mashabiki wake wengi ni mbumbumbu, na wanapenda sana kulalamika hovyo. Kwa hiyo viongozi na benchi la ufundi wanalazimika kuwachezesha wachezaji wale wale kuka mechi, ili tu ushindi upatikane......according to Tate Mkuu
NB: Je unahisi sababu zingine zaweza kuwa ni zipi?