Rasmi - Yanga yachomoa kombe la Mapinduzi!!

Rasmi - Yanga yachomoa kombe la Mapinduzi!!

kovai tamil taiga

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
1,569
Reaction score
2,189
Sababu kubwa ya uamuzi huo 'Bado hawajapata benchi la uhakika la ufundi'.
Cha kujiuliza ni nini kisa cha kumtimua Brandts!? Je yawezekana baada ya kuangalia timu pinzani uoga umeingia?kwamba kipigo kingine kutoka kwa mnyama iwapo watakutana kitaleta mtafaruku jangwani? Nini hasa?
 
Asilimia kubwa ya viongozi wa Yanga ni genge la wanyang'anyi tu hawana lolote, jana walipokuwa wanasema hawajapata barua ya mwaliko hivyo hawajui hata wafikie wapi wala hawajui watapokelewa na nani, kumbe sababu hawana kocha sasa kwa nini wasitoe taarifa mapema ili kama inawezekana waandaaji watafute timu nyingine.
 
'Akili ni mali' ujinga hasara! Wampigie magoti mzee huyu! Huwa anaona mbali!!
 
Sababu kubwa ya uamuzi huo 'Bado hawajapata benchi la uhakika la ufundi'.
Cha kujiuliza ni nini kisa cha kumtimua Brandts!? Je yawezekana baada ya kuangalia timu pinzani uoga umeingia?kwamba kipigo kingine kutoka kwa mnyama iwapo watakutana kitaleta mtafaruku jangwani? Nini hasa?

Mambo ya Yanga tuachie Yanga wenyewe. Overall; Mapinduzi Cup ni bonanza jingine hivyo usikonde Mkuu.
 
Yeboyebo bana yaan wanaongoza League lakini wamemfukuza kocha kisa tu kafungwa na Simba,,,sasa hata mumlete Morinho kichapo tu kinawahusu na bora mmejitoa maana mngemfukuza kocha mwingine.
 
Timu ya yanga imejitoa kwenye kombe la mapinduzi cup kutokana na kuvunja penchi la ufundi. Sasa kunakiongozi mmoja wa ngazi za juu selikarini amekimbilia kenye chombo kimoja cha redio kwenda kuikandia yanga kutokana na itikadi yake ya simba. Yanga ni timu kubwa nainajiandaa na mashindano ya kimataifa sasa unapoilazimisha yanga icheze mashindano wakati haijajiaandaa wewe nimbumbu wa michezo mawazo yake yote anaangalia yanga ikacheze na simba zanziba nawala siokuangalia mashindano hayo yakimataifa.
 
Mambo ya Yanga tuachie Yanga wenyewe. Overall; Mapinduzi Cup ni bonanza jingine hivyo usikonde Mkuu.

Bonanza!real?Mzee Karume!Yanga ya Manji! Ukuta Kaseja, Bartez, Luhende na Canavaro!!!Embu Sikiliza maneno ya busara ya Katabaro ' Mzee Karume lazima tumuenzi kwa kushiriki kuthamini mchango wake kwa Yanga hasa Zanzibar inapoadhimisha miaka 50'!! Hii ni hofu dhahiri!! Ukuta wa Yanga kwa sasa ni 'chekecheke'.
 
Wameogopa kutafunwa tena na mnyama hatari mbugani.
 
Timu ya yanga imejitoa kwenye kombe la mapinduzi cup kutokana na kuvunja penchi la ufundi. Sasa kunakiongozi mmoja wa ngazi za juu selikarini amekimbilia kenye chombo kimoja cha redio kwenda kuikandia yanga kutokana na itikadi yake ya simba. Yanga ni timu kubwa nainajiandaa na mashindano ya kimataifa sasa unapoilazimisha yanga icheze mashindano wakati haijajiaandaa wewe nimbumbu wa michezo mawazo yake yote anaangalia yanga ikacheze na simba zanziba nawala siokuangalia mashindano hayo yakimataifa.

Tulia braza.. Haraka ya nini?? Tazama chini..

"penchi"
"selikarini"
"nimbumbu"
"kenye"

ULIKUWA UNAMAANISHA NINI HAPO JUU WE NG'OMBE??
 
Yanga haina timu kushindana hivyo wameogopa aibu za vipigo zenji. sababu kuuya kujitoa eti haina benchi la ufundi, hivi yuko benchi gani katika timu ya yanga? au naye kafukuzwa?. Nadhani mashindano haya yalikuwa mwafaka kwenu yanga kurekebisha kasoro za ustaa ndani ya klabu,
 
Bonanza!real?Mzee Karume!Yanga ya Manji! Ukuta Kaseja, Bartez, Luhende na Canavaro!!!Embu Sikiliza maneno ya busara ya Katabaro ' Mzee Karume lazima tumuenzi kwa kushiriki kuthamini mchango wake kwa Yanga hasa Zanzibar inapoadhimisha miaka 50'!! Hii ni hofu dhahiri!! Ukuta wa Yanga kwa sasa ni 'chekecheke'.
Wametukosesha uhondo, tungekutana nao tungejipigia tano zingine safiiiii.
 
Binafsi nawapongeza sana Yanga kujitoa, wameona mbali sana coz safari hii wangekutana tena na mtani wake wa Jadi, mwenyekiti ndo ingekula kwake.

Hongera Manji na wenzako kwa kulibashiri hili
 
Hahahahahahahaha yanga bana....katabaro,nan yule cjui anajiita mzee wa magar,bin kleb wanaweza wakawa bench la ufundi na wao...wachezaji c wapo.....
 
Wewe mtoa mada unaushaki usio na maono umezoea kucheza kwenye mashindano ya bonanza ligi imewashindeni mnashika nafasi ya nne niaibu sana kuongoza alafu mwisho wa mzunguko wa kwanza unashika nafasi ya nne uwezo wa simba nikucheza mabonanza kama hayo ya mapindu cup nakuwa na migogolo ya milele kula kukicha
 
Wewe mtoa mada unaushaki usio na maono umezoea kucheza kwenye mashindano ya bonanza ligi imewashindeni mnashika nafasi ya nne niaibu sana kuongoza alafu mwisho wa mzunguko wa kwanza unashika nafasi ya nne uwezo wa simba nikucheza mabonanza kama hayo ya mapindu cup nakuwa na migogolo ya milele kula kukicha

kama uliona bonanza mbona mlikuwa mnashangilia na kujigamba kabla ya mechi, huna lolote ww acha hadithi ya sungura "sizitaki mbichi hizi".
 
Back
Top Bottom