RASMI USHOGA: Shinikizo kwa JK

RASMI USHOGA: Shinikizo kwa JK

Napenda kuona mshikamano wa nchi za AFRIKA Katika hili, nilitarajia kikao cha dharura kwa hili suala.
Outcome ni moja: Africa should stop dealing with the west and look to the EAST.
 
tuache kujadili mambo ya msingi kwa mustakabal wa vizaz vijavyo kimaendeleo tuwe mazuzu kama m7 kukomaa na ushoga kwenye lindi la umaskin wa kutupwa.achen wa chezee miil yao mungu atawapa adhabu kal
Hii siyo Biharamulo connection tangu juzi nilikwambia kuacha ujinga wako ona sasa unavyotukanwa hapa ni great thinker ujinga wako peleka fb
 
mods mnawaacha watu kama hawa jamani, du!

nia aibu kubwa kwa mtu mwenye telabite za upumbavu namna hii. hata kama Rais hafai si uungwana kumtukana matusi makubwa namna hiyo. hamna sehem yoyote dunian watakuona una busara kwa kumtukana binadamu mwenzio, tena mtu mzima zaidi zaidi ni the president.
 
Back
Top Bottom