RASMI USHOGA: Shinikizo kwa JK

RASMI USHOGA: Shinikizo kwa JK

tuache kujadili mambo ya msingi kwa mustakabal wa vizaz vijavyo kimaendeleo tuwe mazuzu kama m7 kukomaa na ushoga kwenye lindi la umaskin wa kutupwa.achen wa chezee miil yao mungu atawapa adhabu kal
Uwe una declare interest basi...
 
Sina uhakika kama baba riz hawaungi mkono masho...km sivyo si aseme msimamo wake km mseveni.na tia hoja
 
bora akae kimya tusije pigwa ban na wamagharibi,maana matumizi ya uangalifu wa fedha zetu ni ZERO!
 
Kwanza hata kulijadili suala hili ni Ujing.a usio na kipeo...How can we jadili ishu ya hovyo hovyo na kishetani kama hiyo
 
Natoa Pendekezo kwa watanzania wote kuweka saini zao hapa kumshinikiza kiranja mkuu wetu JK kupeleka pendekezo bungeni la kuundwa kwa sheria ya kuwafunga maisha mashoga na wasagaji wote

Lengo ni kuwaunga mkono majirani zetu waganda dhidi ya mikono ya mafedhuli wa kizungu

WEKA SAINI KUMSHINIKIZA JK

MODERATORS mnaweza kuweka poll ili tupate idadi ya watu wanaounga mkono na wanaokataa ijulikane

Mkuu mi nna wazo...ujue hapa tatizo si ushoga..tatizo ni umaskini..hatuna matumizi mazuri ya fedha tunazozizalisha ndo maana hawa jamaa wanatupeleka..tungekua tuna chetu cha uhakika mbona wasingetuingilia.?mbona China mtu akishikwa na madawa ya kulevya ananyongwa na hawasemi kua wanavunja haki za kibinadamu..?so hata na sisi tukijiweza kikipato tutaishi maisha tunayoyataka na si kupiga kura hapa ya kukataa ushoga hafu kesho tunaenda kuwakopa pesa...
 
Natoa Pendekezo kwa watanzania wote kuweka saini zao hapa kumshinikiza kiranja mkuu wetu JK kupeleka pendekezo bungeni la kuundwa kwa sheria ya kuwafunga maisha mashoga na wasagaji wote

Lengo ni kuwaunga mkono majirani zetu waganda dhidi ya mikono ya mafedhuli wa kizungu

WEKA SAINI KUMSHINIKIZA JK

MODERATORS mnaweza kuweka poll ili tupate idadi ya watu wanaounga mkono na wanaokataa ijulikane

krappppppppp..........
domo.jpg
 
Mbali na asilimia chache ya watu kupenda vitendo vya ngono,ila amini asilimia kubwa ya wanawake wanajiuza ni kwa7bu ya umaskini..so hata kama ataapa leo nafanya namwanaume ya mwisho kesho akisikia njaa atarudia tena ndo hivi kwetu..tukiweka sahihi ya kukataa leo wakat hatujaziba matundu kwa maana ya vyanxo vya pesa'etu tukiishiwa tutatengua hiyo sheria tu...
 
tuache kujadili mambo ya msingi kwa mustakabal wa vizaz vijavyo kimaendeleo tuwe mazuzu kama m7 kukomaa na ushoga kwenye lindi la umaskin wa kutupwa.achen wa chezee miil yao mungu atawapa adhabu kal

moja wapo hili hapa....... Limeanza kusapot. Haaa! Ww
 
Mods natoa ushauri kufunga threads zote zinazoongelea suala hili coz hiki si kipaumbele chetu ktk taifa... Kama tulivyosema awali kuliongelea jambo hili kila wakati linaweza kuwa kichocheo na pia mijadala hii haina tija kwa taifa ... Natoa wito kwenu ndugu zangu tuache kujadili mambo haya yanayodhalilisha utu wetu... cc: @moderators
wewe ndio taifa?akili ndogo ni tatizo,sema hiki si kipaumbele chako
 
mkuu hukuwahi tizama website ile ya ZeUtamu huyo mkuu waliweka picha yake ya hayo makitu so usitegemee kabisa anakuja kuweka sheria hizo za kupinga wala kuisapoti Uganda.... na kwa jinsi anavyopenda Misaada kamwe haitowezekana... uganda ishaanza kufungiwa vioo na mataifa yenye pesa... tusubilie pesa zao ziwe na thamani kama ya Zimbabwe...
 
Naunga mkono.pia bunge la katiba lijadili,iwe ndani ya katiba na lipigiwe kura ya wazi
 
Haiwezekani mashoga waonekane wa maana kuliko watu wenye maadili la sivyo tujue Mungu ameshainua mkono juu na kibiriti mkononi kuchoma moto dunia. Biblia na Quran zote zinakataa hii kitu na kwa sababu serikali inaheshimu dini zote basi hiyo iwe ni basis ya kuukataa ushoga na hatimaye kuitengenezea sheria.

Museven usirudi nyuma umeacha kuwa mnafiki ukadhubutu na sisi tunakuunga mkono 100%
 
yaani unasema lengo la hiyo kura ni kuwaunga mkono majirani zetu uganda. Ndio kusema sisi kama taifa hatuna maamuzi yetu zaidi ya kuangalia majirani wanafanya nini. Hebu jitafakari vizuri.
 
Back
Top Bottom