gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 14,359
- 17,836
Upendo au ukabila!?..arusha wameanza kutakata, baada ya miaka 30 tunaweza waamini na uraisWatu wa Arusha wana upeo mdogo ingekuwa kule Bukoba hatuwezi kumuweka MTU ambaye sio muhaya
Upendo au ukabila!?..arusha wameanza kutakata, baada ya miaka 30 tunaweza waamini na uraisWatu wa Arusha wana upeo mdogo ingekuwa kule Bukoba hatuwezi kumuweka MTU ambaye sio muhaya
SawaUpendo au ukabila!?..arusha wameanza kutakata, baada ya miaka 30 tunaweza waamini na urais
Kawanunua bei ganiMakonda kanunua wajumbe wote. Hii nchi Ina shida nyingi
Ni likelly angeshinda yule mjuba, na huko kwenye kuunda serikali wampe wizara ya mambo ya ndani ya nchi ataimudu, ni mbabe
Hivi kwanini asingegombea huko usukumani kolomije? Kwamba ana uchungu sana na maendeleo ya wananchi wa Arusha mjini au Kigamboni kwa kipindi kile, kuliko Mwanza!?
Mambo ya ndani inahitaji mbabe?Ni likelly angeshinda yule mjuba, na huko kwenye kuunda serikali wampe wizara ya mambo ya ndani ya nchi ataimudu, ni mbabe
Kigamboni??Mbona maneno kama haya hukuyasema Kigamboni?
Ye ana ya uvuviWatu wa Arusha wana upeo mdogo ingekuwa kule Bukoba hatuwezi kumuweka MTU ambaye sio muhaya wa kuzaliwa na pia uwe angalau uwe na Masters ya uchumi au mipango mji.
Nakuunga mkono..hakika Ndugu Makonda atashinda saa mbili asubuhi.Makonda kwenye kazi Yuko vizur na Jiji la arusha linataka mbunge kama makonda
DuhNakuunga mkono..hakika Ndugu Makonda atashinda saa mbili asubuhi.
Nimekaa Arusha muda wa kutosha kuifahamu vizuri.Arusha mjini Ina aina yake ya kui win.Kumbuka Mh Makongoro,Mh Mrema,Mh Lema,Mh Gambo,n.k...ongea lugha yao,tenda mambo kibiashara,watu wapige hela..unashinda mapema tu..yote haya kama uchaguzi utafanyika,basi Makonda ni next MP