Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,678
- 2,882
Wapange tu makundi hyo match ni ya warm-up
Mkuu, naomba ufafanuzi. Tunajua kuwa kuna timu mbili zilikuwa zinakutana,michezo miwili, mshindi wa jumla ndiye atakutana na Simba .Sasa huyu, imekuwaje?Jwaneng Galaxy Football Club, ni team ambayo itacheza na Simba katika michuano ya club bingwa Africa.
Ni team mpya ndio kwanza inamiaka 6 tu( imeanzishwa 2015), kutoka huko BOTSWANA.
Vipi mwana JF unaionaje hii team, na ipi nafasi ya simba kuelekea makundi ya klabu bingwa.
NB: Simba hatudharau mechi, kipimo anachopimiwa Al Ahly ndicho hicho hicho watakachopimiwa hawa vijana wa kiswana.
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Huo urasmi umetoka wapi? Wamecheza mechi ya marudiano?Jwaneng Galaxy Football Club, ni team ambayo itacheza na Simba katika michuano ya club bingwa Africa.
Ni team mpya ndio kwanza inamiaka 6 tu( imeanzishwa 2015), kutoka huko BOTSWANA.
Vipi mwana JF unaionaje hii team, na ipi nafasi ya simba kuelekea makundi ya klabu bingwa.
NB: Simba hatudharau mechi, kipimo anachopimiwa Al Ahly ndicho hicho hicho watakachopimiwa hawa vijana wa kiswana.
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Uliwahi ona wapi mbuzi zina akili.Yanga wakisha tolewa kwenye michuano ya klabu bingwa jpili, alafu waanze utopolo wao wa kuwapokea wapinzani wa simba aisee! ntawashusha thamani sana hawa mbuzi ..
Nahofia sana hii mechi, Simba bora acheze na Ahly mara 10 sio vitimu vidogo hiviNgoja tuone japo kijuu juu naona ni mtelezo.
Hivi tutakuwa tushacheza mechi ngapi za ligi?Wapange tu makundi hyo match ni ya warm-up
Tusubiri Simba day + Mazembe tuwaone wachezaji ,maana pre season Simba wameshinda goli moja moja na dro ,kiasi flani hairidhishiNi vyema ikiwa hivyo, ila kwa yaliyotukuta kwa UD Songo sitaki kabisa kuzisikia team ndogo.
Ni rasmi mkuu, wamepita hao nadhaniMkuu, naomba ufafanuzi. Tunajua kuwa kuna timu mbili zilikuwa zinakutana,michezo miwili, mshindi wa jumla ndiye atakutana na Simba .Sasa huyu, imekuwaje?
Mkuu nadhani mwalimu alikuwa anatest wachezaji na mbinu zake.Huo urasmi umetoka wapi? Wamecheza mechi ya marudiano?
Hao Galaxy mechi ya kwanza walicheza na Diplomates wakashinda nyumbani 2-0 ,Leo wakiwa ugenini walifungwa 1-0 kwahiyo wamepita kwa aggregate ,washamaliza mechi yao ya marudiano leo.Mkuu, naomba ufafanuzi. Tunajua kuwa kuna timu mbili zilikuwa zinakutana,michezo miwili, mshindi wa jumla ndiye atakutana na Simba .Sasa huyu, imekuwaje?
Acha tusubiri tuone ila kwa ninavyo wajua hawa ndugu zetu lazima watarudia utopolo wao ..
Utopolo inabidi makao makuu yahamie kipawa......Kwahiyo wanawasili lini sisi utopolo tukawapokee
Simba kwisha habari yake, hii timu zaidi ya playstation.Jwaneng Galaxy Football Club, ni team ambayo itacheza na Simba katika michuano ya club bingwa Africa.
Ni team mpya ndio kwanza inamiaka 6 tu( imeanzishwa 2015), kutoka huko BOTSWANA.
Vipi mwana JF unaionaje hii team, na ipi nafasi ya simba kuelekea makundi ya klabu bingwa.
NB: Simba hatudharau mechi, kipimo anachopimiwa Al Ahly ndicho hicho hicho watakachopimiwa hawa vijana wa kiswana.
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Kama ipo vizuri, hii itasaidia sana.Simba kwisha habari yake, hii timu zaidi ya playstation.
Hutataki mtoke hatua hii,tunataka makundi ili mkalie za kutosha.Yanga wakisha tolewa kwenye michuano ya klabu bingwa jpili, alafu waanze utopolo wao wa kuwapokea wapinzani wa simba aisee! ntawashusha thamani sana hawa mbuzi ..
Ukiona hivyo ujue Simba naye ni mbovu.Kama ipo vizuri, hii itasaidia sana.
Maana simba hufungwa na team mbovu.
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Rage hakukosea.Vitimu vidogo wakikutana na timu kubwa huwa wanajitoa muhanga,mfano Yanga kwa Rivers,Yanga ni wadogo sana kwa Rivers wangekua makini wangepata zaidi ya goli mbili kwa Mkapa.